kisana moja
Member
- Aug 27, 2013
- 52
- 13
karibu wik mbili sasa toka tuanze kuripot hapa chuon, kwa upande wa kinadada wote wa mwaka wa kwanza hasa college ya eduction,wameonesha heshima na nidham ya hali ya juu hasa ktk mavaz, kwahiyo naomben muendele hvyo
unakumbuka lecturer alivyosema pale thetre2??subiri boom uone
bado wanausoma mchezo ngoja kidogo tu utajua kama wanaheshima au la
unakumbuka lecturer alivyosema pale thetre2??subiri boom uone
we bado wanausoma mchezo, hlf mbona wanagongeka 2, njoo huku mwisho wa ma blok uwaone wanavyogongeka, tena kimya kimya. ucmwambie m2