Kina dada wa vyuo vikuu wajiuza

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
Source::::Oral Quesyionaire.:....Maelezo yanaonyesha vyuo vikuu baadhi hasa mlimani..:::Mc......Baadhi ya kana dada wanajiuza........Sasa sijui ni kua hela wanazopewa na wazazi au bodi hazitoshi?Na je unadhani ni kweli ama ni kuwachafua wasomi wetu........
 
sasa unalotaka ni lipi? Unatoa taarifa Unalolijua) au unataka kujulishwa? Maelezo kakupa nani? Humwamini? Ok jibu ni mimi sijui. So what next
 
Ni kweli kabisa na mimi ni mteja wao,nipo mza kama wiki sasa watoto wa saut wana agents kabisa unaletewa demu tayari bei imeshapangwa,nashindwa hata kuelewa tatizo ni sisi tunaowataka au ni tamaa ya pesa

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Sasa unataka kujua nn kutoka kwetu? si unafanya research au sio?...Njoo hapa na result finding zako ndo tujadili..
 
Ya kweli haya mkuu?ni PM no ya huyo dalali kafum, nikifika Mwanza nipate first class service
nampango wa kwenda next week
 
Yeah, ni kweli kuwa wanajiuza karibu vyuo vikuu vyote, mfano hapa saut mza wanaendaga kujiuza karibu na Villa hapo kuna 1st, 2nd na 3rd class inategemea na mshiko wako, mm stak kuumizwa kwa kusalitiwa so hapo naendaga najichagulia anayevutia kisha huyo naenda kujilia vyangu
 
Ni kweli huwa tunanunua,customer care fast,reliable and quality kwani kuna ubaya basi wewe tu
 

Tujuze kama unataka kutengeneza Research propasal auQuestionnaire kwani hoja yako imekaa ki INTERVIEW kwa sana.
 

Kwahiyo wewe unapaikua tu huwaulizi kulikoni? mbona unatuuliza siye maswali ulopaswa kuwauliza wateja wako?
 
Ooooh nauliza mana sijaona kwa macho naambiwa tuu
 
Nataka kujua ni kweli ama wanapakaziwa
 
ukweli ndo huo ila hebu jiulize we kama musomi mwenzao unasaidiaje hili make vyuo vyetu ndo tunakotegemea watalamu. sa ni mtalamu gani ambate life span yake kaipunguza hadi miaka 30 ataajiriwa miaka mingapi ili kulitumikia taifa hili????????.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…