Tanzanite1
Member
- Apr 17, 2010
- 23
- 0
Naomba niwaulize kaka zetu huwa mnafikiria nini au mnajipangaje kwenda 'kumtokea' demu..
kwasababu inafurahisha sana wakati mwingine mtu anakwambia kitu kama 'sista nimekumind naona unalipa sijui unafaa kuwa demu wagu'...:lol: dooh kweli nikicheka nakuwa nimekosea
Kina dada please share experience za kutokewa zilizokufurahisha
Mi nawazaga kumega tu.....:becky:
Mamie hebu soma swali linavyosema.....unajua "kuwaza" ni tofauti na "kusema" ujue.....:confused2:yaani ina maana wewe hunaga porojo porojo? ukimtamani bac unampa live kwamba nataka twende.....hhdggg....au?
"Mrembo unajisiakiaje kupendwa na mtu kama mie" .. hapa cjui unajibuje :confused2: mtu mwenyewe hata point hazieleweki
"Mrembo unajisiakiaje kupendwa na mtu kama mie" .. hapa cjui unajibuje :confused2: mtu mwenyewe hata point hazieleweki
Mi nawazaga kumega tu.....:becky:
Waelezee hao Kiongozi.........nipo na wewe Kimey.....! kinachowazwa kabla ya kumwibukia demu ni kumega.....inafuata sasa unampataje ili ummege?.....ndo utasikia....(baada ya vi-offer na vi-outing kadhaa)...sister na kumind sana....sasa inakuwaje....? n bla bla bla......!
Naomba niwaulize kaka zetu huwa mnafikiria nini au mnajipangaje kwenda 'kumtokea' demu..
kwasababu inafurahisha sana wakati mwingine mtu anakwambia kitu kama 'sista nimekumind naona unalipa sijui unafaa kuwa demu wagu'...:lol: dooh kweli nikicheka nakuwa nimekosea
Kina dada please share experience za kutokewa zilizokufurahisha
siku hizi hakuna hiyo mambo ya ohhh nimekufia.....unamualika ki-date...mara ya pili unamkaribisha getho/room.........ya tatu action....hakuna maneno mengi!