.,habari zenu wana jf. nauliza kina kaka mkiacha kuangalia tabia, muonekano nk. kwa msichana, je ufundi wa mapishi jikoni huwa mnatilia maanani? au mnatizama sura tu, makalio na guu la bia
Kupika sikunafundishika bwana sio issue sana unaweza mfundisha au mpeleka korse ,kupika ni kama udereva bana
Kujua kupika na mapishi ni added advantage
hakuna mwanaume na akili zake atakayemtaka msichana ambaye haujui kupika kila siku kula nje hapana....
ila sijaelewa mnapozungumzia makalio ndo nini?
halafu wewe.....leo uje pale Narok pub kambi ya fisi.....tuikung'ute hii baridi....
mboni zetu zimefanana....am ur agemate...Kheee macho yangu yanaweza fanana na yako?una miaka mingapi?
Asikuambie mtu, Tunatilia maanani sana tu!
Kwa mfano umevutiwa na mdada kwa sura na umbo,mkaanzisha mahusiano baada ya muda unamzoea tu. Ila akiwa fundi kwenye majukumu ya kike na mapishi yakiwemo ngumu kuachika na kusahaulika...
Na tena tunavyopenda kula?
.,habari zenu wana jf. nauliza kina kaka mkiacha kuangalia tabia, muonekano nk. kwa msichana, je ufundi wa mapishi jikoni huwa mnatilia maanani? au mnatizama sura tu, makalio na guu la bia
.,habari zenu wana jf. nauliza kina kaka mkiacha kuangalia tabia, muonekano nk. kwa msichana, je ufundi wa mapishi jikoni huwa mnatilia maanani? au mnatizama sura tu, makalio na guu la bia
Ngoja nikusaidie Preta, hakuna mwanaume asiyependa kula mahanjumat. Zaidi ni kwamba huwa kuna hii hisia iliyojengeka kwa wanaume kuwa mwanamke aliyekamilika(mrembo) basi anapaswa kujua sana kupika.
Binafsi nimesoma nje ya nchi, na huko wanaume wa nchi nyingine(hasa zile za Kiafrika) walikuwa wanapenda sana kuhudhuria sherehe za kitanzania ili tu wagonge misosi mitamu ya kibongo na uzuri ni kuwa wadada wengi waliokua wanakorofisha hiyo misosi ni kutoka ukanda wa Pwani na Zanzibar.
.,habari zenu wana jf. nauliza kina kaka mkiacha kuangalia tabia, muonekano nk. kwa msichana, je ufundi wa mapishi jikoni huwa mnatilia maanani? au mnatizama sura tu, makalio na guu la bia
.,habari zenu wana jf. nauliza kina kaka mkiacha kuangalia tabia, muonekano nk. kwa msichana, je ufundi wa mapishi jikoni huwa mnatilia maanani? au mnatizama sura tu, makalio na guu la bia