Kina nani waliolia kilio cha kusaga meno baada ya Boni yai kurudi VIP room na kutoa kutoa matokeo ya kura za Mbowe

Kina nani waliolia kilio cha kusaga meno baada ya Boni yai kurudi VIP room na kutoa kutoa matokeo ya kura za Mbowe

Boeing787-8

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2018
Posts
1,155
Reaction score
1,209
Aisee hili jambo limenishangaza sana. Juzi Boni yai aliandika Tweeter kuwa alipoingia VIP room kutoa matokeo ya kura za nafasi ya mwenyekiti, eti baadhi ya watu waliokuwa na Mbowe VIP room, baada ya kusikia Mbowe kapigwa chini, walilia kilio cha kusaga meno.

Mbowe ameongoza Kwa miaka 21, kitu Gani kiliwafanya watu hao wabubujikwe na machozi na ni akina nani?
 
Aisee hili jambo limenishangaza sana. Juzi Boni yai aliandika Tweeter kuwa alipoingia VIP room kutoa matokeo ya kura za nafasi ya mwenyekiti, eti baadhi ya watu waliokuwa na Mbowe VIP baada ya kusikia Mbowe kapigwa chini, walilia kilio cha kusaga meno.

Mbowe ameongoza Kwa miaka 21, kitu Gani kiliwafanya watu hao wabubujikwe na machozi na ni akina nani?
Cc
Lucas Mwashambwa
 
Aisee hili jambo limenishangaza sana. Juzi Boni yai aliandika Tweeter kuwa alipoingia VIP room kutoa matokeo ya kura za nafasi ya mwenyekiti, eti baadhi ya watu waliokuwa na Mbowe VIP room, baada ya kusikia Mbowe kapigwa chini, walilia kilio cha kusaga meno.

Mbowe ameongoza Kwa miaka 21, kitu Gani kiliwafanya watu hao wabubujikwe na machozi na ni akina nani?
Huyu ni kamdomo tu, wakati wa uchaguzi zinakuepo kambi nyingi tu , kila mmoja kwa hisia zake kwa Mgombea , sasa mtu akilia ni hoja?
Hata mimi lissu angeshindwa ningelia tu maana nilikua upande wake , sasa hoja ya ajabu ni hipi ?
 
Huyu ni kamdomo tu, wakati wa uchaguzi ziakuepo kambi nyingi tu , kila mmoja kwa hisia zake kwa Mgombea , sasa mtu akilia ni hoja?
Hata mimi lissu angeshindwa ningelia tu maana nilikua upande wake , sasa hoja ya ajabu ni hipi ?
Kunywa maji mkuu
 
Huyu mpaka leo mkewe anambembeleza
1000341841.jpg
 
Back
Top Bottom