clinton gidioni
Senior Member
- Oct 24, 2016
- 145
- 165
Wakuu poleni na majukum.
Jamani kama unafahamu kinachoendelea katika site za bomba la mafuta je, kama wamesha anza kuchukua watu japo hata vibarua au kama kuna ujenzi wowote unao endelea.
Naomba kama unafaham changia chochote
Jamani kama unafahamu kinachoendelea katika site za bomba la mafuta je, kama wamesha anza kuchukua watu japo hata vibarua au kama kuna ujenzi wowote unao endelea.
Naomba kama unafaham changia chochote