Heri elf 50 ya kwako kuliko laki 5 ya wengiBaada ya kujitoa WCB katoa nyimbo mbili hadi leo hajafikisha views mil 1 kila wimbo,soon ataanza kushindana na kina rostam na ney wa mitego kwa show za bongo
Yaani huyo hata akifanya kazi na Trey song ngoma yake still haitafanya vizuri cos mashabiki wa wasafi waliokuwa wanambeba sasa hiv wamemuacha yaani atakuwa Kama Rama dee unafanya kazi huku wadau wamekukaushia Kama hawakujui viletulia sasa ngoma na WizKid inakuja
lamli chonganishi subiria uone kondeboy alivyojipanga hanaga nyimbo za ajabu kama chuchumaa,tetema,nyege na anatusua kama kawaida kama dawaYaani huyo hata alifanya kazi na Trey song ngoma yake still haitafanya vizuri cos mashabiki wa wasafi waliokuwa wanambeba sasa hiv wamemuacha yaani atakuwa Kama Rama dee unafanya kazi huku wadau wamekukaushia Kama hawakujui vile
logical fallacy messi na ngasa umri sawa hao hakuna mdogo kwa mwenzieDiamond yupo tangu 2009 ..hana haja ya kuimbak kama konde boy..
Ni sawa na messi aige uchezaji wa ngasa.... siku zote harmonize atafaninishwa na diamond na sio viseversa
Nani kakudanganya kuwa sasa pesa anayopata yote ni take peke take? We unadhani ule msululu wa watu wanaishi kwa pesa za nani?Heri elf 50 ya kwako kuliko laki 5 ya wengi