Nitawapa jamani mimi ndo M/kiti wa jimbo siwezi kusema uongo tunafanya majumuisho Anatoglo, nitawapa figures soon.Thanx MySis,
Kwani Jimbo la Segerea lina Kata ngapi? Tunaongoza kwa KURA ngapi?
Sasa kinachosababisha wasitangaze matokeo ni nini kama kila kitu kinakuwa wazi kwa utaratibu huo???????/
Dada Mashishanga,</p>
<p> </p>
<p>Tunaweza kupata updates za kinachoendelea? Maana jimbo lenu limekuwa slow sana kutoa matokeo. Mmewasiliana na kina Mnyika wawafahamishe wametumia njia gani u
ndio namtafuta mnyika ahamishe majeshi hapa ila makongoro mbaya sana nimesikiakatangaza dau.
wanafikiri watu watakata tamaa...haondoki mtu na haki yetu!
Kusanyikeni hapo muimbe ngoma za kwenu , wataachilia tu!
Weka data tafadhali. Taarifa hizi bila data zinarusha roho tu!!!!
wanameza kwanza panadol... Si unajua kuna maumivu!!
</p>Nitawapa jamani mimi ndo M/kiti wa jimbo siwezi kusema uongo tunafanya majumuisho Anatoglo, nitawapa figures soon.
<p>Dada Mashishanga,</p>
<p> </p>
<p>Tunaweza kupata updates za kinachoendelea? Maana jimbo lenu limekuwa slow sana kutoa matokeo. Mmewasiliana na kina Mnyika wawafahamishe wametumia njia gani u
ndio namtafuta mnyika ahamishe majeshi hapa ila makongoro mbaya sana nimesikiakatangaza dau.
Katangaza dau kwa nani??
</p>jamani mimi bado nalia na Kawe. Kuna juhudi zozote zinafanyika pale?</p>
<p>Kama inawezekana timu ya Ubungo ingehamia pale kuongeza nguvu.
jamani mimi bado nalia na Kawe. Kuna juhudi zozote zinafanyika pale?
Kama inawezekana timu ya Ubungo ingehamia pale kuongeza nguvu.
</p><p></p>
<p> </p>
<p>Katangaza dau kwa nani??
<p> </p>
nimesikia tu mtu kanipigia simu kuwa anataka kumnunua ancle fred...bt cna uhakika.