King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 1,834
- 3,456
Baada ya kuona mwenendo wa timu yao siyo wa kuridhisha, Mashabiki na wanachama kindakindaki walipaza sauti wakishinikiza kujiuzulu kwa baadhi ya viongozi wa ngazi za juu wa timu yao.
Kweli baada ya siku kadhaa viongozi hao walitangaza kujiuzulu, lakini cha ajabu Mdhamini na Rais wa heshima wa timu hiyo akatangaza kuwarejesha viongozi hao, Tatizo lililopo ni endapo timu haitafanya vizuri, ikitokea timu ikafanya vibaya basi anaepaswa kuwa 'Answerable' ni Mo mwenyewe.
Tuendelee kuwa na subira, Muda utaongea.
Kweli baada ya siku kadhaa viongozi hao walitangaza kujiuzulu, lakini cha ajabu Mdhamini na Rais wa heshima wa timu hiyo akatangaza kuwarejesha viongozi hao, Tatizo lililopo ni endapo timu haitafanya vizuri, ikitokea timu ikafanya vibaya basi anaepaswa kuwa 'Answerable' ni Mo mwenyewe.
Tuendelee kuwa na subira, Muda utaongea.