Imedhihirika kuwa kuna sintofahamu nyingi katika balaza la mtihani la taifa kutokana na kutupiwa macho mengi na wanasiasa pamoja na wadau mbalimbali wa elimu. Hii ni sababu kubwa ya wao kuchelewa kutoa matokeo hayo wakihofia mitazamo ya wadau hao. Serikali katika hili bado inajipanga sawasawa.