Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Imagine karne moja iliyopita kulikuwa na vita za kidunia Hitler na wenzake walihukumiwa na kuchorwa katika picha ya ugaidi, kiongozi wa kiimla, iddi amini dada alionekana ni the same, Gadadi na wengi neo.
Kwa bahati mbaya zaidi hakuna mtu ambaye amepinga vitendo vya jeshi la NATO dhidi ya ugaidi huu unaofanywa kuingia katika nchi za watu na kufanya ugaidi mkubwa wa kuuwa,leo imeahamia GAZA nchi inaingia katika nchi jirani kufanya operation ya kijeshi bila ya kupingwa kwani internation organization zipo kwa lengo lipi?
The world is not fair
Kwa bahati mbaya zaidi hakuna mtu ambaye amepinga vitendo vya jeshi la NATO dhidi ya ugaidi huu unaofanywa kuingia katika nchi za watu na kufanya ugaidi mkubwa wa kuuwa,leo imeahamia GAZA nchi inaingia katika nchi jirani kufanya operation ya kijeshi bila ya kupingwa kwani internation organization zipo kwa lengo lipi?
The world is not fair