Imagine karne moja iliyopita kulikuwa na vita za kidunia Hitler na wenzake walihukumiwa na kuchorwa katika picha ya ugaidi,kiongozi wa kiimla,iddi amini dada alionekana ni the same,Gadadi na wengi neo.
kwa bahati mbaya zaidi hakuna mtu ambaye amepinga vitendo vya jeshi la NATO dhidi ya ugaidi huu unaofanywa kuingia katika nchi za watu na kufanya ugaidi mkubwa wa kuuwa,leo imeahamia GAZA nchi inaingia katika nchi jirani kufanya operation ya kijeshi bila ya kupingwa kwani internation organization zipo kwa lengo lipi?
The world is not fair
Walioigawana Afrika, ni wazungu,
British na wenzie! Mwaka 1884! Hulka Yao ni ile ile, hawatoacha mpaka dunia iishe,
Kwa mataifa yakijinga jinga kama ya Afrika, lazima yatatuliwe kweli kweli,
British, German fucked us,
100 yrs later, chines, Indians, and the wazungu are fucking us again, the only people to help Africans, and few poor Arabs are themselves, the wazungu they don't care if u have blue eyes like them, look at what they are doing to ukraine, and other former Soviet nations, if they can https://jamii.app/JFUserGuide their fellow Anglo Saxon, what do you think they will do to poor Africans, Arabs, asians