Kinachoendeoea yanga vs mbeya kwanza ni upigaji wa mabomu mochwari

Kinachoendeoea yanga vs mbeya kwanza ni upigaji wa mabomu mochwari

MUSHEKY

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
2,812
Reaction score
2,760
Inafahamika dhahili msimamo wa timu ya mbeya kwanza na namna ambavyo wapo hoi uwanjani siku zote, si jambo la kujivunia kuwafunga hata kidogo

Si ajabu kpindi cha pili wakawafunga maskini wa watu magoli hata saba

Uzi umekamilika
 
Kua na heshima na mbeya kwanza ndgu yangu, walimbatua mtu huko kwao, akasahau hadi mchele alioagizwa.
 
FT. Simba 1 Mbeya Kwanza 0. Siyo kwamba hawajuo mpira ila wamekutana na timu yenye quality ya juu sana.! Kama wangekuwa wabovu basi Simba nao pia wangejipigia mengi tu
 
FT. Simba 1 Mbeya Kwanza 0. Siyo kwamba hawajuo mpira ila wamekutana na timu yenye quality ya juu sana.! Kama wangekuwa wabovu basi Simba nao pia wangejipigia mengi tu
Kipindi wanafungwa 1-0 na simba hawakuwa wa mwisho. Kwa hiyo ni timu mbili tofauti kiviwango labda uamue tu kubisha .
 
Wakati Tusingewafunga Mngeshangilia Mpaka Wengine Mngegalagala Na Maneno Ya Dharau Ya Kila Aina Yangewatoka.
 
Wakati Tusingewafunga Mngeshangilia Mpaka Wengine Mngegalagala Na Maneno Ya Dharau Ya Kila Aina Yangewatoka.
Baada ya kamati yenu ya ulozi kuja juu ndo mnashinda

5FA96F65-1C5E-4857-9F66-FD921EB27AB0.jpeg
 
Inafahamika dhahili msimamo wa timu ya mbeya kwanza na namna ambavyo wapo hoi uwanjani siku zote, si jambo la kujivunia kuwafunga hata kidogo

Si ajabu kpindi cha pili wakawafunga maskini wa watu magoli hata saba

Uzi umekamilika
Kiongozi wa kikosi cha mizinga kapteni Mayele akisaidiwa na Luteni Ntibazonkiza kwa pamoja wanasema huu upigaji wa mabomu utaendelea mpaka tarehe 28 tutakapopiga mabomu mengine katika mochwari ya makolo

Put.jpg
 
Back
Top Bottom