Tetesi: Kinachofanya Wabunge wa UKAWA kuranda randa viwanja vya bunge wakati wamesusa

Tetesi: Kinachofanya Wabunge wa UKAWA kuranda randa viwanja vya bunge wakati wamesusa

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Kuna tetesi kuwa Wabunge wa UKAWA pamoja na kususa wamekuwa wakionekana kuranda randa viwanja na maeneo ya bunge.

Wamekuwa wakiranda randa hayo maeneo wakisubiria wabunge Wa CCM wakitoka WAWAOMBE ama wawakope pesa walau wakale.

Mbunge mmoja alisikika akilalama kuwa kachoka kuombwa na kukopwa hela na wabunge wa UKAWA.
 
Back
Top Bottom