Kinachofanyika Kenya sasa hivi wananchi wanadili na kila mmoja kuanzia viongozi, polisi, chawa na wengine

Kinachofanyika Kenya sasa hivi wananchi wanadili na kila mmoja kuanzia viongozi, polisi, chawa na wengine

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Mambo yanazidi kuwa mabaya kwa kenya huku polisi na familia zao wakijikuta wapo matatani pamoja na viongozi wao.

Mbunge Dadaab Farah Maalim amejikuta wakati mgumu huko mombasa baada ya kutoa kauli yake kuwa angekuwa raisi mfano yeye kila siku angewaua watu 5000 wanaofanya mgomo.

Kauli hii imepelekea kila anapokwenda wananchi wanatoa onyo kuwa watashambulia kokote alipo.

===

Mbunge wa Dadaab Farah Maalim amefukuzwa katika hoteli ya Sarovah Whitesands mjini Mombasa pwani ya Kenya kufuatia kauli yenye utata aliyotoahivi karibuni dhidi ya waandamanajivijana wa Gen Z.
Katika video iliyosambaa kwa kasi mitandaoni mbungehuyo anaonekana akisema ‘’waandamanaji walifanya uhaini na laiti angelikuwa rais angeliwangamiza’’

Vyombo vya Habari vyandani vinaripoti kuwa Mbunge huyo alifika katika hoteli hiyo siku ya Ijumaa.

Mkurugenzi Mkuu wa Sarovah Hotels and Resorts KenyaJimi Kariuki alitoa tangazo la kufukuzwa kwambunge huyo katika mtandao wa X zamani Twitter baada ya baadhi ya watumiajiwake kuishtuma kwa kumruhusu kukaa hapo.

Bw. Kariuki asisitizakuwa hoteli hiyo haikubaliani kwa vyovyote na kauli ya Maalim.

Katika video hiyo ambayo haijulikani ilirekodiwalini, Maalim, akizungumza kwa lugha ya Kisomali anaonekana, akisema kuwa kamaangekuwa Rais wa Kenya angewaua waandamanaji 5,000 kila siku.

Tafsiri ya video iliyothibitishwa ilifichua kuwambunge huyo alikuwa akiwashutumu Vijana wa Kenya kwa jaribio lao la kuandamanahadi Ikulu wakati wa maandamano ya kupinga Mswada wa fedha wa 2024.

Mbunge huyohata hivyo amekanusha madai hayo akisema video hiyo ilifanyiwa ukarabati.

dwewew.jpg


NITAKUWA NIKITOA TAARIFA
 
Mambo yanazidi kuwa mabaya kwa kenya huku polisi na familia zao wakijikuta wapo matatani pamoja na viongozi wao.

Mbunge Dadaab Farah Maalim amejikuta wakati mgumu huko mombasa baada ya kutoa kauli yake kuwa angekuwa raisi mfano yeye kila siku angewaua watu 5000 wanaofanya mgomo.

Kauli hii imepelekea kila anapokwenda wananchi wanatoa onyo kuwa watashambulia kokote alipo.

===

Mbunge wa Dadaab Farah Maalim amefukuzwa katika hoteli ya Sarovah Whitesands mjini Mombasa pwani ya Kenya kufuatia kauli yenye utata aliyotoahivi karibuni dhidi ya waandamanajivijana wa Gen Z.
Katika video iliyosambaa kwa kasi mitandaoni mbungehuyo anaonekana akisema ‘’waandamanaji walifanya uhaini na laiti angelikuwa rais angeliwangamiza’’

Vyombo vya Habari vyandani vinaripoti kuwa Mbunge huyo alifika katika hoteli hiyo siku ya Ijumaa.

Mkurugenzi Mkuu wa Sarovah Hotels and Resorts KenyaJimi Kariuki alitoa tangazo la kufukuzwa kwambunge huyo katika mtandao wa X zamani Twitter baada ya baadhi ya watumiajiwake kuishtuma kwa kumruhusu kukaa hapo.

Bw. Kariuki asisitizakuwa hoteli hiyo haikubaliani kwa vyovyote na kauli ya Maalim.

Katika video hiyo ambayo haijulikani ilirekodiwalini, Maalim, akizungumza kwa lugha ya Kisomali anaonekana, akisema kuwa kamaangekuwa Rais wa Kenya angewaua waandamanaji 5,000 kila siku.

Tafsiri ya video iliyothibitishwa ilifichua kuwambunge huyo alikuwa akiwashutumu Vijana wa Kenya kwa jaribio lao la kuandamanahadi Ikulu wakati wa maandamano ya kupinga Mswada wa fedha wa 2024.

Mbunge huyohata hivyo amekanusha madai hayo akisema video hiyo ilifanyiwa ukarabati.

View attachment 3041284

NITAKUWA NIKITOA TAARIFA
It is a matter o time, watakuja kuchinjana kama Rwanda!
 
Mambo yanazidi kuwa mabaya kwa kenya huku polisi na familia zao wakijikuta wapo matatani pamoja na viongozi wao.

Mbunge Dadaab Farah Maalim amejikuta wakati mgumu huko mombasa baada ya kutoa kauli yake kuwa angekuwa raisi mfano yeye kila siku angewaua watu 5000 wanaofanya mgomo.

Kauli hii imepelekea kila anapokwenda wananchi wanatoa onyo kuwa watashambulia kokote alipo.

===

Mbunge wa Dadaab Farah Maalim amefukuzwa katika hoteli ya Sarovah Whitesands mjini Mombasa pwani ya Kenya kufuatia kauli yenye utata aliyotoahivi karibuni dhidi ya waandamanajivijana wa Gen Z.
Katika video iliyosambaa kwa kasi mitandaoni mbungehuyo anaonekana akisema ‘’waandamanaji walifanya uhaini na laiti angelikuwa rais angeliwangamiza’’

Vyombo vya Habari vyandani vinaripoti kuwa Mbunge huyo alifika katika hoteli hiyo siku ya Ijumaa.

Mkurugenzi Mkuu wa Sarovah Hotels and Resorts KenyaJimi Kariuki alitoa tangazo la kufukuzwa kwambunge huyo katika mtandao wa X zamani Twitter baada ya baadhi ya watumiajiwake kuishtuma kwa kumruhusu kukaa hapo.

Bw. Kariuki asisitizakuwa hoteli hiyo haikubaliani kwa vyovyote na kauli ya Maalim.

Katika video hiyo ambayo haijulikani ilirekodiwalini, Maalim, akizungumza kwa lugha ya Kisomali anaonekana, akisema kuwa kamaangekuwa Rais wa Kenya angewaua waandamanaji 5,000 kila siku.

Tafsiri ya video iliyothibitishwa ilifichua kuwambunge huyo alikuwa akiwashutumu Vijana wa Kenya kwa jaribio lao la kuandamanahadi Ikulu wakati wa maandamano ya kupinga Mswada wa fedha wa 2024.

Mbunge huyohata hivyo amekanusha madai hayo akisema video hiyo ilifanyiwa ukarabati.

View attachment 3041284

NITAKUWA NIKITOA TAARIFA
Wanakoelekea ni mauaji ya wao Kwa wao.

Wacha wauane kwani wewe utapata hasara gani? Si ndio wanaita Demokrasia au?

Kiufupi Nchi imemshinda Ruto na ndio maana nasemaga mara zote Demokrasia kwenye maskini na yenye watu wajinga na wenye njaa haifai,hakuna Ustaarabu.

Ndio maana hata Samia uhuru imezidi Sasa Kila mtu anaongea analojiskia matokeo yake Huwa sio mabaya.

Ulaya walileta Demokrasia baada ya kuendelea ila kabla walitiana adabu sana.
 
Unakwenda kuua familia ya nchemba kisa nchemba anazingua,shemeji yake nchemba unadhani atakuelewa kwa kuua dada yake???
Unatengeneza adui wa 3 anayekutafuta alipe kisasi kwa hilo,ukiwa huna hili wala lile unakutwa kwenu umefia migombani.

Sio kila ujinga ni wa kusifiwa kwa kigezo cha harakati.
 
Wanakoelekea ni mauaji ya wao Kwa wao.

Wacha wauane kwani wewe utapata hasara gani? Si ndio wanaita Demokrasia au?
WE TUMBIRI ILE MADA YANGU NIKAKWAMBIA CHUNGA KAULI YAKO UMEONA MATOKEO AU UNAJIKAUSHA .SIKU YAKITOKEA YANI WEWE MTAANI KWENU WANAAZNA NA WEWE.
UTAJIFUNZA KUWA WENYE NGUVU NI WANANCHI
 
WE TUMBIRI ILE MADA YANGU NIKAKWAMBIA CHUNGA KAULI YAKO UMEONA MATOKEO AU UNAJIKAUSHA .SIKU YAKITOKEA YANI WEWE MTAANI KWENU WANAAZNA NA WEWE.
UTAJIFUNZA KUWA WENYE NGUVU NI WANANCHI
We fala ,hao hawajaanza Leo kuuana , ujinga na ukabila ulishatokomezwa Tzn.

Mwisho zingatia ushauri wangu hapo Juu.
 
Back
Top Bottom