A
Anonymous
Guest
Tunaomba wahusika wafuatilie kuhusu vitendo vinavyofanywa na hawa watu wa ushirika kwenye malipo ya korosho huku Mtwara na Lindi. Umefanyika mnada wa kwanza wa korosho wiki 4 zilizopita na bei ilikuwa tsh 4170@kg 1 ya korosho, cha kushangaza ukifuatilia malipo unakuta bei zinazolipwa siyo zile zilizotangazwa siku ya mnada badala ya kulipwa 4170/ unakuta umeingizwa kwenye mnada wa pili ambao bei ilikuwa tsh 3780/=
Ukiuliza kwanini nalipwa hivyo majibu yake unaambiwa mzigo wako haukuwahi kwenye mnada wa kwanza wakati/kinachofanyika mnada wa kwanza pesa zikishalipwa na makampuni yalishinda mnada wao wanasubiri mnada wa pili bei kama itashuka ndipo wao wanatumia nafasi hiyo kulipa watu wa mnada wa kwanza wanaingizwa kwenye mnada wa pili ambao bei ipo chini
Tunaomba wahusika walifanyie kazi hili jambo
Ukiuliza kwanini nalipwa hivyo majibu yake unaambiwa mzigo wako haukuwahi kwenye mnada wa kwanza wakati/kinachofanyika mnada wa kwanza pesa zikishalipwa na makampuni yalishinda mnada wao wanasubiri mnada wa pili bei kama itashuka ndipo wao wanatumia nafasi hiyo kulipa watu wa mnada wa kwanza wanaingizwa kwenye mnada wa pili ambao bei ipo chini
Tunaomba wahusika walifanyie kazi hili jambo