Kinachokikwaza ni kuwa tu katika hili li team

Kinachokikwaza ni kuwa tu katika hili li team

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Chama ni mchezaji mzuri sana wala nisiwe mnafiq.... Ni bonge la mchezaji yaani huyu bwana kama unataka kujifunza kucheza mpira si vizuri kumwangalia. Anaweza kukudanganya ukaona mpira ni mchezo rahisi sana. Ukaamini hata wewe unaweza enda cheza kama anavyocheza.

Chama si mchezaji wa kumwamini anapokuwa na mpira ni mwongo sana... Anaweza kukudanganya kuwa anapiga ukaamini anapiga kumbe hapigi. Halaafu anaweza kukuaminisha kuwa hapigi kisha anapiga. Namchukia kwa sababu hiyo ya uongo. Si mkweli anapokuwa uwanjani. Binafsi huwa siwezi unafiq.

Napenda niseme nililo nalo moyoni. Kama ambavyo niliwahi sema sikuwahi mpenda manara akiwa simba siwezi mpenda sasa akiwa kwetu yanga. Siwezi...Kwa nini niwe mnafiq? Mi siwezi.Huyu ni uchafu ambao watu wametoa chooni sisi tumechukua kuja kuleta sebuleni. Anyway siyo issue.

Jambo moja ambalo silipendi kwa chama. Sipendi chama kuchezea simba. Hili nalisema tu kwa uwazi huyu angekuwa yanga angekuwa mbali sana. Tungempamba na kumpambanua.

Angekuwa ndiye wimbo wa taifa kwenye vyombo vya habari n.K ila naona simba kama hawampi hadhi yake anayostahili. Nachukia hapo tu. Natamani sana angekuwa jangwani. Chama, chama, chama babaaaaaa... Chama. Huyu jamaa huyu.

Jana niliona mambo aliyoyafanya itoshe kusema ni bonge la mchezaji... Kiukweli jamaa ana vitu vingi mguuni anakosa tu nguvu na kasi. Ila akili anayo sana. Jamaa anatumia akili kucheza mpira na anafanya mpira uonekane ni kitu rahisi sana. Ila nachojiuliza kwa nini aendelee kuchezea simba?

Angekuja kuungana nasi jangwani akutane na mzee wa kutupia magoli Mayeleee Kitu. Mwaka huu tunaanza kuwaliza watu kuanzia tarehe 13/08. Kilio kinaanzia hapo.... Watu watalia sana.. Watalia na kuendelea kulia mpaka mwisho wa msimu.
 
Hawezi kuja utopolo,soka lenu halielewek
chama ni mchezaji mzuri sana wala nisiwe mnafiq.... ni bonge la mchezaji yaani huyu bwana kama unataka kujifunza kucheza mpira si vizuri kumwangalia. anaweza kukudanganya ukaona mpira ni mchezo rahisi sana. ukaamini hata wewe unaweza enda cheza kama anavyocheza.

chama si mchezaji wa kumwamini anapokuwa na mpira ni mwongo sana... anaweza kukudanganya kuwa anapiga ukaamini anapiga kumbe hapigi. halaafu anaweza kukuaminisha kuwa hapigi kisha anapiga. namchukia kwa sababu hiyo ya uongo. si mkweli anapokuwa uwanjani. binafsi huwa siwezi unafiq... napenda niseme nililo nalo moyoni. kama ambavyo niliwahi sema sikuwahi mpenda manara akiwa simba siwezi mpenda sasa akiwa kwetu yanga. siwezi...kwa nini niwe mnafiq? mi siwezi.huyu ni uchafu ambao watu wametoa chooni sisi tumechukua kuja kuleta sebuleni. anyway siyo issue.

jambo moja ambalo silipendi kwa chama. sipendi chama kuchezea simba. hili nalisema tu kwa uwazi huyu angekuwa yanga angekuwa mbali sana. tungempamba na kumpambanua. angekuwa ndiye wimbo wa taifa kwenye vyombo vya habari n.k ila naona simba kama hawampi hadhi yake anayostahili. nachukia hapo tu. natamani sana angekuwa jangwani.......chama, chama, chama babaaaaaa... chama.... huyu jamaa huyu.

jana niliona mambo aliyoyafanya itoshe kusema ni bonge la mchezaji... kiukweli jamaa ana vitu vingi mguuni anakosa tu nguvu na kasi. ila akili anayo sana. jamaa anatumia akili kucheza mpira na anafanya mpira uonekane ni kitu rahisi sana. ila nachojiuliza kwa nini aendelee kuchezea Simba? angekuja kuungana nasi Jangwani akutane na mzee wa kutupia magoli Mayeleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee...kitu. mwaka huu tunaanza kuwaliza watu kuanzia tarehe 13/08. kilio kinaanzia hapo.... watu watalia sana.. watalia na kuendelea kulia mpaka mwisho wa msimu.
 
chama ni mchezaji mzuri sana wala nisiwe mnafiq.... ni bonge la mchezaji yaani huyu bwana kama unataka kujifunza kucheza mpira si vizuri kumwangalia. anaweza kukudanganya ukaona mpira ni mchezo rahisi sana. ukaamini hata wewe unaweza enda cheza kama anavyocheza.

chama si mchezaji wa kumwamini anapokuwa na mpira ni mwongo sana... anaweza kukudanganya kuwa anapiga ukaamini anapiga kumbe hapigi. halaafu anaweza kukuaminisha kuwa hapigi kisha anapiga. namchukia kwa sababu hiyo ya uongo. si mkweli anapokuwa uwanjani. binafsi huwa siwezi unafiq... napenda niseme nililo nalo moyoni. kama ambavyo niliwahi sema sikuwahi mpenda manara akiwa simba siwezi mpenda sasa akiwa kwetu yanga. siwezi...kwa nini niwe mnafiq? mi siwezi.huyu ni uchafu ambao watu wametoa chooni sisi tumechukua kuja kuleta sebuleni. anyway siyo issue.

jambo moja ambalo silipendi kwa chama. sipendi chama kuchezea simba. hili nalisema tu kwa uwazi huyu angekuwa yanga angekuwa mbali sana. tungempamba na kumpambanua. angekuwa ndiye wimbo wa taifa kwenye vyombo vya habari n.k ila naona simba kama hawampi hadhi yake anayostahili. nachukia hapo tu. natamani sana angekuwa jangwani.......chama, chama, chama babaaaaaa... chama.... huyu jamaa huyu.

jana niliona mambo aliyoyafanya itoshe kusema ni bonge la mchezaji... kiukweli jamaa ana vitu vingi mguuni anakosa tu nguvu na kasi. ila akili anayo sana. jamaa anatumia akili kucheza mpira na anafanya mpira uonekane ni kitu rahisi sana. ila nachojiuliza kwa nini aendelee kuchezea Simba? angekuja kuungana nasi Jangwani akutane na mzee wa kutupia magoli Mayeleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee...kitu. mwaka huu tunaanza kuwaliza watu kuanzia tarehe 13/08. kilio kinaanzia hapo.... watu watalia sana.. watalia na kuendelea kulia mpaka mwisho wa msimu.
Umeongea vizuri..ila umeharibu huko mwishoni
 
"Mwenye Meno akicheka, Mwenye Mapengo Huudhika "................!

We unataka kujifanya umepata Akili hivyo kuwakimbia wenzako hapo Jangwani.? Haiwezekani bakia huko huko ambako Manara alisema Eti nyie hapo Jangwani wote hamna akili isipokuwa Mdingi wake na Mzee wa Msoga...!
 
Yanga wa Kimataifa oyeeee! Big Bullets oyeeee!!!
 
Chama aliwah funga goli na kaizer chief pale taifa nilinyosha mikono.alideshi mpira Kam anapiga shoot ivi kipa akadanganyika akataka kuruka afu jamaa akapiga pale pale aliposimama kipa shoot dogo tu kipa akaishia tu kunyosha mikono
 
Chama angekuwa na nguvu na ule ufundi alionao angekuwa bonge la mchezaji
 
Chama haendi mbinguni,ni muongo sana anawadanganya makipa na mabeki kuwa anapiga kulia kumbe hapigi,a nakuja kupiga kushoto
 
Mpira anaocheza chama hafikii hata nusu ya kipaji cha bwalya sema ndo hvyo mpira una mambo mengi.
 
Acha kumkosea adabu chama, bwalya huyu aliyeshindwa kutu prove wakati Chama yuko Berkane?? Khaaaah acha zako bhana wee.
Mpira wa bongo we si unaangalia tu mpira ila nyuma ya pazia ni balaa ukichelewa watu wanakuwahi pale simba kuna namba sita kuna beki wa kushoto na goli kipa wa simba yaani hzo nafasi hata aje ngolo kante aje gomes wa liverpool na alison beka unawakataa refer to fraga lwanga asante kwasi gadiel Maiko na kakolanya hao ni baadhi tu hata huko kwao Zambia mfalme ni bwalya sio yeye sio lazima uamini ni mtazamo tu.
 
Utateseka sana mwaka huu
Ila nyie uto si mlisema chama kaflop?
Chama asie na nywele na kuchomekea ni bora zaidi kuliko anaefuga nyweleChama babaaa chama baabaaa (mpenja's voice)
 
Mpira wa bongo we si unaangalia tu mpira ila nyuma ya pazia ni balaa ukichelewa watu wanakuwahi pale simba kuna namba sita kuna beki wa kushoto na goli kipa wa simba yaani hzo nafasi hata aje ngolo kante aje gomes wa liverpool na alison beka unawakataa refer to fraga lwanga asante kwasi gadiel Maiko na kakolanya hao ni baadhi tu hata huko kwao Zambia mfalme ni bwalya sio yeye sio lazima uamini ni mtazamo tu.
Wee bwalya hamfikii chama, acha zako hapa
 
Back
Top Bottom