1. Viongozi waliopo madarakani kujilimbikizia mali na kutumia mali za umma kwa ANASA.
2. Viongozi waliopo madarakani kutosikiliza na kuzifanyia kazi shida za wananchi(kuwachukulia wananchi kama WAJINGA)
3. Viongozi waliopo madarakani kuwalinda MAFISADI na MAJIZI na kuwakandamiza wanaowafichua hao MAJIZI na MAFISADI(Rejea kesi ya MPINA Vs BASHE na SPIKA)
4. Ugawaji wa RASILIMALI za Taifa kwa wageni.
5. Tozo na kodi za ovyo wanazobebeshwa wananchi kila uchao.
6. Wabunge na watumishi waandamizi wa serikali kujiongezea mishahara na marupurupu bila kujali shida za wananchi.
7. Serikali kushindwa kuboresha huduma za jamii(Elimu, Afya, Nishati na miundombinu mingine)
Hayo ni baadhi tu ya mengi yanayokwenda kuinyonga CCM 2024/2025.
Nimejaribu kufanya research kidogo. Nimegundua kwa sasa Watanzania wengi wanajitambua sana ukilinganisha na miaka iliyopita. Zaidi ya Watanzania 7/10 wamechukizwa sana na mambo niliyoyataja hapo juu.
2. Viongozi waliopo madarakani kutosikiliza na kuzifanyia kazi shida za wananchi(kuwachukulia wananchi kama WAJINGA)
3. Viongozi waliopo madarakani kuwalinda MAFISADI na MAJIZI na kuwakandamiza wanaowafichua hao MAJIZI na MAFISADI(Rejea kesi ya MPINA Vs BASHE na SPIKA)
4. Ugawaji wa RASILIMALI za Taifa kwa wageni.
5. Tozo na kodi za ovyo wanazobebeshwa wananchi kila uchao.
6. Wabunge na watumishi waandamizi wa serikali kujiongezea mishahara na marupurupu bila kujali shida za wananchi.
7. Serikali kushindwa kuboresha huduma za jamii(Elimu, Afya, Nishati na miundombinu mingine)
Hayo ni baadhi tu ya mengi yanayokwenda kuinyonga CCM 2024/2025.
Nimejaribu kufanya research kidogo. Nimegundua kwa sasa Watanzania wengi wanajitambua sana ukilinganisha na miaka iliyopita. Zaidi ya Watanzania 7/10 wamechukizwa sana na mambo niliyoyataja hapo juu.