Uchaguzi 2020 Kinachotokea Mlimba kulazimisha yule jamaa apite bila kupingwa

Uchaguzi 2020 Kinachotokea Mlimba kulazimisha yule jamaa apite bila kupingwa

Joyce joyce

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2020
Posts
457
Reaction score
1,973
Wakuu, kile kinachotokea Mlimba kulazimisha yule jamaa apite bila kupingwa, kinapaswa kutizamwa kwa jicho la pili, kila kitu kinaonesha kuwa yupo mtu wa ngaz ya juu pengne wa mwisho kule yuu kimamlaka ndio ametoa maelekezo kuwa tangaza hivi, kwa hiyo kama ameamua hivyo maana yake majimbo mengi ya waliopita bila kupingwa kaamua yeye iwe hivyo.

Kwa maana nyingne huyo mtu atakuwa na list ya wabunge wake Mkononi ambao iwe isiwe, washinde kwenye kura wasishinde ataitoa baadae na kuamuru watangazwe, hapa wewe kama ni Mbunge wa upinzani unagombea Jimbo ambalo ana mtu wake wa karibu Au anaempenda unapaswa Kuanza kuandaa plan B ya kutangazwa.

Usikae pasipo na plan B, huyo mtu unaegombea nae anaweza kutangazwa pasipo kufuata matokeo ya kupiga kura, wewe fuatilia kwenye mikutano yake utawafaham wale aliokuwa akiwasifia Halafu jiongeze, kuna hatari sana huyu mtu kuja kutumbukiza taifa kwenye shida.
 
Kweli kabisa. Mfano huyu mgombea ubunge wa CCM wa jimbo la Mlimba alitia nia lakini bado akaendelea kubaki na nafasi yake ya ukurugenzi wa jiji la Dodoma mpaka siku moja kabla chama chake hawajatangaza majina ya waliowateua kugombea ubunge!
 
mhhhh kazi ipo mimi nimeshaacha kufatilia huo uchaguzi. Na hivyo ofisini kwangu sina TV nikirudi ni kuoga na kulala tuu

Duuuhh kwangu ipo TV alafu inawashwa SAA 12, nikifika tuuu nakutatana na nguo za operasheni yaani chefu.
 
Wakuu, kile kinachotokea Mlimba kulazimisha yule jamaa apite bila kupingwa, kinapaswa kutizamwa kwa jicho la pili, kila kitu kinaonesha kuwa yupo mtu wa ngaz ya juu pengne wa mwisho kule yuu kimamlaka ndio ametoa maelekezo kuwa tangaza hivi, kwa hiyo kama ameamua hivyo maana yake majimbo mengi ya waliopita bila kupingwa kaamua yeye iwe hivyo.

Kwa maana nyingne huyo mtu atakuwa na list ya wabunge wake Mkononi ambao iwe isiwe, washinde kwenye kura wasishinde ataitoa baadae na kuamuru watangazwe, hapa wewe kama ni Mbunge wa upinzani unagombea Jimbo ambalo ana mtu wake wa karibu Au anaempenda unapaswa Kuanza kuandaa plan B ya kutangazwa.

Usikae pasipo na plan B, huyo mtu unaegombea nae anaweza kutangazwa pasipo kufuata matokeo ya kupiga kura, wewe fuatilia kwenye mikutano yake utawafaham wale aliokuwa akiwasifia Halafu jiongeze, kuna hatari sana huyu mtu kuja kutumbukiza taifa kwenye shida.
Naona hata jimbo la Kawe kuna dalili hizo mkuu
 
Huyu magufuri atatusababushia matatizo nchi hii. Ccm walimpaje urais mtu asiye jitambua? . Leo namkumbuka Nchimbi ,kimbisa na Sofia Simba kwa maneno yao
 
Wakuu, kile kinachotokea Mlimba kulazimisha yule jamaa apite bila kupingwa, kinapaswa kutizamwa kwa jicho la pili, kila kitu kinaonesha kuwa yupo mtu wa ngaz ya juu pengne wa mwisho kule yuu kimamlaka ndio ametoa maelekezo kuwa tangaza hivi, kwa hiyo kama ameamua hivyo maana yake majimbo mengi ya waliopita bila kupingwa kaamua yeye iwe hivyo.

Kwa maana nyingne huyo mtu atakuwa na list ya wabunge wake Mkononi ambao iwe isiwe, washinde kwenye kura wasishinde ataitoa baadae na kuamuru watangazwe, hapa wewe kama ni Mbunge wa upinzani unagombea Jimbo ambalo ana mtu wake wa karibu Au anaempenda unapaswa Kuanza kuandaa plan B ya kutangazwa.

Usikae pasipo na plan B, huyo mtu unaegombea nae anaweza kutangazwa pasipo kufuata matokeo ya kupiga kura, wewe fuatilia kwenye mikutano yake utawafaham wale aliokuwa akiwasifia Halafu jiongeze, kuna hatari sana huyu mtu kuja kutumbukiza taifa kwenye shida.
Malalamiko FC!
 
MAGUFULI AKITOA KAULI YA KIDIKTETA KUVURUGA UCHAGUZI MKUU 2020.
AKIWAAMBIA WAKURUGENZI.

Nimekipa Ajira.
Nakupa Mshahara.
Nakulipa posho na marupurupu.
Nakupa Gari zuri
Nimekupa Nyumba.

BADO UNAKWENDA KUMTANGAZA MPINZANI.
 
Wakuu, kile kinachotokea Mlimba kulazimisha yule jamaa apite bila kupingwa, kinapaswa kutizamwa kwa jicho la pili, kila kitu kinaonesha kuwa yupo mtu wa ngaz ya juu pengne wa mwisho kule yuu kimamlaka ndio ametoa maelekezo kuwa tangaza hivi, kwa hiyo kama ameamua hivyo maana yake majimbo mengi ya waliopita bila kupingwa kaamua yeye iwe hivyo.

Kwa maana nyingne huyo mtu atakuwa na list ya wabunge wake Mkononi ambao iwe isiwe, washinde kwenye kura wasishinde ataitoa baadae na kuamuru watangazwe, hapa wewe kama ni Mbunge wa upinzani unagombea Jimbo ambalo ana mtu wake wa karibu Au anaempenda unapaswa Kuanza kuandaa plan B ya kutangazwa.

Usikae pasipo na plan B, huyo mtu unaegombea nae anaweza kutangazwa pasipo kufuata matokeo ya kupiga kura, wewe fuatilia kwenye mikutano yake utawafaham wale aliokuwa akiwasifia Halafu jiongeze, kuna hatari sana huyu mtu kuja kutumbukiza taifa kwenye shida.
JPM ni MTU hatari sana kwa demokrasia nchini. Anapaswa kutoka ikulu kabla nchi haijaangamia kabisa.
 
Kwa maana nyingne huyo mtu atakuwa na list ya wabunge wake Mkononi ambao iwe isiwe, washinde kwenye kura wasishinde ataitoa baadae na kuamuru watangazwe
Hawa wabunge ndiyo watakaompa utakatifu na kumuongezea muda madarakani endapo kwasabb yoyote ile tutarushusu huyu mtu kurudi ikulu.
Afe refa, afe kipa huyu mtu asiruhuiwe kurudi ikulu.
 
Back
Top Bottom