Kinachotufelisha ni akili tu

Kinachotufelisha ni akili tu

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Kuna mambo madogo tu yanatushinda kuyatatua, sio kwamba hatuwezi, hapana. Ila kuna dhana tofauti tulizonazo zinatujenga na zinaendelea kutujenga hivi tulivyo. Nikwambie tu, hebu futa maneno uoga, umasikini, uongozi, kazi, wivu kichwani mwako, halafu niambie, jambo gani limekuja akilini mwako?
 
let say umasikini

tunashindwa kufanikiwa sababu ya neno umasikini limetengenezewa misingi ya ukosefu ila ukiwa positive unaweza kuiona hali ya kawaida na hatimae ukapambana nayo kwa njia ya kawaida tu.
kuna vitu vipo nje ya uwezo wako tu hata uwe positive kivipi

kamuambie mtu mwenye cancer isiyotibika awe positive
 
kuna vitu vipo nje ya uwezo wako tu hata uwe positive kivipi

kamuambie mtu mwenye cancer isiyotibika awe positive
unatakiwa kuhandle hilo jambo ili uweze kubalance na mambo mengine hata kama halitibiki,na unaweza kutumia njia hiyo kuwashauri au kuwanasihi watu dhidi ya ugonjwa kama wako.

cosequently life become good.
 
kuna mambo madogo tu yanatushinda kuyatatua sio kwamba hatuwezi hapana ila kuna dhana ya tofouti ambayo tumekuwa nazo zinatjenga na zinaendelea kutujenga hivi tulivyo ila nikwambie tu,hebu futa neno uoga,umasikini,uongozi,kazi,wivu kichwani mwako alafu niambie kuna jambo gani likuja katika akili yako?
Umewaza nini mwamba?
 
Hakika mkuu
Kuna mambo madogo tu yanatushinda kuyatatua, sio kwamba hatuwezi, hapana. Ila kuna dhana tofauti tulizonazo zinatujenga na zinaendelea kutujenga hivi tulivyo. Nikwambie tu, hebu futa maneno uoga, umasikini, uongozi, kazi, wivu kichwani mwako, halafu niambie, jambo gani limekuja akilini mwako?
Kuna kipindi niliumwa miguu na a sehem zote za joint ilikuwa ngumu kutembea nikaanza kutumia zile dawa za kutia ganzi (flamer) kama sikosei ,lakini ukiisha nguvu maamivu yanarudi kwa ukali zaidi hii hali niliishi nayo kwa miezi kadha lakini

Nikatafakari nikjiambia hivi hizi dawa nitatumia mpaka lini?

Kuna mazoezi flan yakunyoosha viungo na misuli dokta mmoja alinielekeza namna ya kufanya , nikajiambia situmii tena zile dawa nitafanya haya mazoezi mpaka nitoke kwa hali hii

hili zoezi lilichukua si chini ya miezi ,mdogo mdogo nilianza kurecover mpaka sasa namshukru Mungu nimepona kabisa

Ingawa haikuwa rahisi lakini nilitoboa
 
unatakiwa kuhandle hilo jambo ili uweze kubalance na mambo mengine hata kama halitibiki,na unaweza kutumia njia hiyo kuwashauri au kuwanasihi watu dhidi ya ugonjwa kama wako.

cosequently life become good.
Oya siyo rahisi hivyo.
 
Namna unavyo fikiri ndio hatma ya maisha yako.
Binadamu anaishi kwenye fikra tuu siku zote zamaisha yake.
 
Back
Top Bottom