Mchokoo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,181
- 1,579
Eti, mbona lile walisema wee lakini bado tulifanya yetu na hakuna kilichotokea? Achana nao, kwa maana kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji.
Halafu, mbona Magu alipokuwa anamua lake hakuna aliyefurukuta?
Hatukatai, ila tambueni nyakati zinabadilika, vilevile watu wanabadilika. Yaani watanzania wa leo siyo wale wa jana.
Hivi suala la bandari hamuoni kama limeshatugawa vipande vipande?
Wengi tunajiuliza; ni ubora gani uliomo ndani yake, ambao wenzetu mnaona ni aheri tuparanganyike kuliko kuukosa huo?
Halafu, mbona Magu alipokuwa anamua lake hakuna aliyefurukuta?
Hatukatai, ila tambueni nyakati zinabadilika, vilevile watu wanabadilika. Yaani watanzania wa leo siyo wale wa jana.
Hivi suala la bandari hamuoni kama limeshatugawa vipande vipande?
Wengi tunajiuliza; ni ubora gani uliomo ndani yake, ambao wenzetu mnaona ni aheri tuparanganyike kuliko kuukosa huo?