Na wew utauonaje ubovu wa Mkataba wakati umezaliwa na kukuzwa ndani ya wanufaika wa upigajia wa rasilimali za Taifa.Utaonaje ubora wa mkataba wakati ulishazoea kuiba pale Bandarini?
Nimezaliwa wapi? Wananufaika vipi?Na wew utauonaje ubovu wa Mkataba wakati umezaliwa na kukuzwa ndani ya wanufaika wa upigajia wa rasilimali za Taifa.
Sio kila nayetetea ubovu wa mikataba ni mnufaika,kipindi cha magu kuna watu walifurahi sana kuona watu wenye uwezo wa kiuchumi kurudi nyuma wakifikiri mtu akiwa na uwezo anajidai au analinga,kuna watu wanafurahi kuona watu wakiwa masikini wakutupwa ndani ya nchi tajiri wao ndio furaha yao. Mfano mchawi anawezo wa kuingia bank kuiba pesa kichawi lakini kilasiku kusumbua watu kuwakalia kama vigoda kesho akiamka hata mbuni hana.Na wew utauonaje ubovu wa Mkataba wakati umezaliwa na kukuzwa ndani ya wanufaika wa upigajia wa rasilimali za Taifa.
Ubaya au uzuri wa kitu huonekani machoni au ndani ya fikra za mtu. Kwa upande wako Mkataba unauona hauna shida, yaweza kuwa umeusoma ukauelewa au umesikiasikia tu kama wengine wanavyousikia, na kuna wengine wanakubwa tu kwa ushabiki. Forecasting Forecasting Forecasting.Sio kila nayetetea ubovu wa mikataba ni mnufaika,kipindi cha magu kumawatu walifurahi sana kuona watu wenye uwezo wa kiuchumi kurudi nyuma wakifikiri mtu akiwa na uwezo anajidai au analinga,kuna watu wanafurahi kuona watu wakiwa masikini wakutupwa ndani ya nchi tajiri wao ndio furaha yao.
Chambua mkataba kifungu kwa kifungu acha kucheza na maneno eti wizi bandarini wakati kila tasisi zimejaa wizi mbona msizibinafsishe.Ubaya au uzuri wa kitu huonekani machoni au ndani ya fikra za mtu. Kwa upande wako Mkataba unauona hauna shida, yaweza kuwa umeusoma ukauelewa au umesikiasikia tu kama wengine wanavyousikia, na kuna wengine wanakubwa tu kwa ushabiki. Forecasting Forecasting Forecasting.
Kijana.., Think Big. Naona kama hujielewi, mim sijazungumzia Wizi Bandarini.Chambua mkataba kifungu kwa kifungu acha kucheza na maneno eti wizi bandarini wakati kila tasisi zimejaa wizi mbona msizibinafsishe.
Wakati tunaletewa mradi wa bomba la gas, porojo ilikuwa ni mabadiliko ya tabia hivyo umeme wa maji sio wa kuaminika. Kisha kundi hilo lililotuimbisha wimbo ule wa umeme wa gas na athari za mabadiliko ya tabia nchi kuhusu umeme wa maji, likawa ndio kinara wa kusifia bwawa la umeme la SG!Utaonaje ubora wa mkataba wakati ulishazoea kuiba pale Bandarini?
Huoni matunda ya Umeme wa Gesi kwenye miradi ya Kinyerezi na viwanda vya Dar?Wakati tunaletewa mradi wa bomba la gas, porojo ilikuwa ni mabadiliko ya tabia hivyo umeme wa maji sio wa kuaminika. Kisha kundi hilo lililotuimbisha wimbo ule wa umeme wa gas na athari za mabadiliko ya tabia nchi kuhusu umeme wa maji, likawa ndio kinara wa kusifia bwawa la umeme la SG!