Pre GE2025 Kinachowauma CCM ni hatari ya kuwakosa CHADEMA kwenye boksi la kura; CCM watafanya kila mbinu jina CHADEMA liwepo kwenye uchaguzi

Pre GE2025 Kinachowauma CCM ni hatari ya kuwakosa CHADEMA kwenye boksi la kura; CCM watafanya kila mbinu jina CHADEMA liwepo kwenye uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
529
Reaction score
1,150
Baada ya madudu mengi kutokea ndani ya mifumo ya kiutawala kwa miaka 5 iliyopita ambapo CCM ilitawala yenyewe, pamoja na misuguano ya ndani ya chama, imepelekea CCM kuona umuhimu fulani walau wa kuwa na uwakilishi mdogo wa wapinzani wenye nguvu ili kufunika kombe na kuendelea kuwahadaa wananchi na jumuiya ya kimataifa.

Kwa maana hiyo, CCM wanaichukulia CHADEMA kama mtaji muhimu wa kisiasa ili waondokane na ile aibu ya kutawala peke yao kupitia uharamia wa chaguzi. Na hapa wanawahitaji CHADEMA tuu, kwa sababu hivo vyama vingine havina ushawishi kwa watanzania (walau visiwani wanajua ACT hawana shida, washakubali michezo yao)

Hivyo, hoja ya 'No reforms, no election' inawaumiza na kuwatesa sana CCM kwasababu wanaona kabisa kuna hatari ya kuwakosa CHADEMA kwenye ballot kitu ambacho wanahisi kitakuwa kimewaharibia sana mipango yao.

Nilivyoona clip ya CPA Makalla akitaka kabisa kulia machozi kuwaomba CHADEMA washiriki uchaguzi, nikathibitisha kwamba, hii no reforms, no election ni mechi ambayo Tundu Lissu amekabia juu kabisa na amewashika vilivyo CCM kwenye koo.

Chopa zikianza kuruka huku na huko kuipigania agenda ya 'no reforms, no election', nina wasiwasi Mh. CPA Makalla na Babu Wasira watamfuata Lissu kwa magoti, wakiwa wamechoka kabisa na kukaukiwa makoo.

Hofu yangu kubwa ni CCM kufanya hata uhuni wa kufanikisha wanachadema feki kuomba kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA. (Kama iliwezekana kwa wabunge 19, hata hapa inaweza kuwezekana) Hapa muwe macho CHADEMA.
 
Baada ya madudu mengi kutokea ndani ya mifumo ya kiutawala kwa miaka 5 iliyopita ambapo CCM ilitawala yenyewe, pamoja na misuguano ya ndani ya chama, imepelekea CCM kuona umuhimu fulani walau wa kuwa na uwakilishi mdogo wa wapinzani wenye nguvu ili kufunika kombe na kuendelea kuwahadaa wananchi na jumuiya ya kimataifa.

Kwa maana hiyo, CCM wanaichukulia CHADEMA kama mtaji muhimu wa kisiasa ili waondokane na ile aibu ya kutawala peke yao kupitia uharamia wa chaguzi. Na hapa wanawahitaji CHADEMA tuu, kwa sababu hivo vyama vingine havina ushawishi kwa watanzania (walau visiwani wanajua ACT hawana shida, washakubali michezo yao)

Hivyo, hoja ya 'No reforms, no election' inawaumiza na kuwatesa sana CCM kwasababu wanaona kabisa kuna hatari ya kuwakosa CHADEMA kwenye ballot kitu ambacho wanahisi kitakuwa kimewaharibia sana mipango yao.

Nilivyoona clip ya CPA Makalla akitaka kabisa kulia machozi kuwaomba CHADEMA washiriki uchaguzi, nikathibitisha kwamba, hii no reforms, no election ni mechi ambayo Tundu Lissu amekabia juu kabisa na amewashika vilivyo CCM kwenye koo.

Chopa zikianza kuruka huku na huko kuipigania agenda ya 'no reforms, no election', nina wasiwasi Mh. CPA Makalla na Babu Wasira watamfuata Lissu kwa magoti, wakiwa wamechoka kabisa na kukaukiwa makoo.

Hofu yangu kubwa ni CCM kufanya hata uhuni wa kufanikisha wanachadema feki kuomba kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA. (Kama iliwezekana kwa wabunge 19, hata hapa inaweza kuwezekana) Hapa muwe macho CHADEMA.
Mkuu naona analysis yako ndio kama ya Lissu ni ya hovyo na haioni mbali

Infact CCM haiwataki Chadema kwenye sanduku

CCM will make sure inabadili official opposition party Tanzania kutoka Chadema kwenda ACT that they can control na hii ndio nafasi walikua wanaitaka

Watawashawishi ACT washiriki uchaguzi na wasishirikiane na Chadema kwa lolote

ACT watachukua baadhi ya viti na kitakua chama kikuu cha upinzani Tanzania

Hapo kitapata ruzuku kubwa na wao ndio watakua rasmi na chadema haitakua rasmi

wanachama hua sio loyal wote watahamia ACT panapo happen

Chadema ndio itakua imekufa rasmi
 
Mkuu naona analysis yako ndio kama ya Lissu ni ya hovyo na haioni mbali

Infact CCM haiwataki Chadema kwenye sanduku

CCM will make sure inabadili official opposition party Tanzania kutoka Chadema kwenda ACT that they can control na hii ndio nafasi walikua wanaitaka

Watawashawishi ACT washiriki uchaguzi na wasishirikiane na Chadema kwa lolote

ACT watachukua baadhi ya viti na kitakua chama kikuu cha upinzani Tanzania

Hapo kitapata ruzuku kubwa na wao ndio watakua rasmi na chadema haitakua rasmi

wanachama hua sio loyal wote watahamia ACT panapo happen

Chadema ndio itakua imekufa rasmi
Kwa akili yako, Chama Kikuu cha Upinzani ni idadi ya Wabunge au kukubalika kwa wananchi?

Chadema kimewafukuza Covid 19 waliopo Bungeni na kiuhalisia wana mbunge 1 tu kwenye Bunge la sasa tofauti na hao ACT Wazalendo ila unaweza fananisha kukubalika kwa CHADEMA na ACT Wazalendo kwa Wananchi sasa?

Chadema wanajulikana kwa wananchi kuwa ni wapinzani kweli wanaowawazia mema kweli Watanzania. Hao ACT Wazalendo wanajulikana kwa wananchi na hilo haliwasumbui Watanzania.

Hata CHADEMA isiwe na mbunge hata 1 Bungeni haiwezi ondoa uhalisia kuwa ndo Chama kinachokubalika zaidi kwa Wananchi kwa sasa.

Mobutu alitengeneza upinzani feki Congo ila hakuweza ondoa upinzani wa kweli dhidi yake.
 
Mkuu naona analysis yako ndio kama ya Lissu ni ya hovyo na haioni mbali

Infact CCM haiwataki Chadema kwenye sanduku

CCM will make sure inabadili official opposition party Tanzania kutoka Chadema kwenda ACT that they can control na hii ndio nafasi walikua wanaitaka

Watawashawishi ACT washiriki uchaguzi na wasishirikiane na Chadema kwa lolote

ACT watachukua baadhi ya viti na kitakua chama kikuu cha upinzani Tanzania

Hapo kitapata ruzuku kubwa na wao ndio watakua rasmi na chadema haitakua rasmi

wanachama hua sio loyal wote watahamia ACT panapo happen

Chadema ndio itakua imekufa rasmi
Kwakuwa umesema ni analysis, kubaliana na ukweli kwamba analysts huwa wanatofautiana mitazamo kwasababu mitazamo yao ni huru na inajengwa kwenye misingi yenye assumptions tofauti kulingana na namna wanavyochambua mambo.

Kwakuwa wewe unasema CCM hawaitaki CHADEMA kabisa, maana yake kuna assumptions unazo. Hivyo unaweza kuwa sahihi.

Hoja yako kwamba CCM wanauwezo wa kukifanya ACT kuwa chama kikuu cha upinzani, naiona kama hoja iliyoishiwa damu, kwasababu imeangalia viti vya uwakilishi kama kipimo cha nguvu ya chama cha siasa kitu ambacho mimi siamini. Mpaka sasa unashindwa kuelewa kwamba ACT ndo chama cha upinzani chenye wabunge wengi bungeni lakini unashangazwa ni CHADEMA ndiyo kila mara ipo referred kama chama kikuu cha upinzani.

Ukubwa wa chama cha siasa sio uwakilishi bungeni, futa hayo mawazo. Ukubwa wa chama umebebwa na support kutoka kwa wananchi, na CHADEMA wanao huo mtaji wa wananchi.
 
Kirahisi ivo chief
Mkuu naona analysis yako ndio kama ya Lissu ni ya hovyo na haioni mbali

Infact CCM haiwataki Chadema kwenye sanduku

CCM will make sure inabadili official opposition party Tanzania kutoka Chadema kwenda ACT that they can control na hii ndio nafasi walikua wanaitaka

Watawashawishi ACT washiriki uchaguzi na wasishirikiane na Chadema kwa lolote

ACT watachukua baadhi ya viti na kitakua chama kikuu cha upinzani Tanzania

Hapo kitapata ruzuku kubwa na wao ndio watakua rasmi na chadema haitakua rasmi

wanachama hua sio loyal wote watahamia ACT panapo happen

Chadema ndio itakua imekufa rasmi
 
Kwa akili yako, Chama Kikuu cha Upinzani ni idadi ya Wabunge au kukubalika kwa wananchi?

Chadema kimewafukuza Covid 19 waliopo Bungeni na kiuhalisia wana mbunge 1 tu kwenye Bunge la sasa tofauti na hao ACT Wazalendo ila unaweza fananisha kukubalika kwa CHADEMA na ACT Wazalendo kwa Wananchi sasa?

Chadema wanajulikana kwa wananchi kuwa ni wapinzani kweli wanaowawazia mema kweli Watanzania. Hao ACT Wazalendo wanajulikana kwa wananchi na hilo haliwasumbui Watanzania.

Hata CHADEMA isiwe na mbunge hata 1 Bungeni haiwezi ondoa uhalisia kuwa ndo Chama kinachokubalika zaidi kwa Wananchi kwa sasa.

Mobutu alitengeneza upinzani feki Congo ila hakuweza ondoa upinzani wa kweli dhidi yake.
Umeeleza vyema, kuna haja ya watu kueleweshwa kwamba uhalali wa kuwa chama kikuu cha upinzani haujengwi pekeyake na kuwa na uwakilishi bungeni.

Nguvu ya chama cha siasa inatengenezwa na support ya wananchi. Mwa mazingira huru ya uchaguzi hiyo inge translate kwenye uwakilishi mkubwa bungeni na kwenye udiwani. Ila kwakuwa Tanzania hakuna mifumo huru ya Demokrasia huwezi kutumia idadi ya viti vya uwakilishi kama kipimo cha nguvu ya chama.

Kwa maana hiyo, hata hoja ya CPA Makalla kwamba CHADEMA itakufa kwa kukosa uwakilishi ni kama imeishiwa damu.
 
Kwa akili yako, Chama Kikuu cha Upinzani ni idadi ya Wabunge au kukubalika kwa wananchi?

Chadema kimewafukuza Covid 19 waliopo Bungeni na kiuhalisia wana mbunge 1 tu kwenye Bunge la sasa tofauti na hao ACT Wazalendo ila unaweza fananisha kukubalika kwa CHADEMA na ACT Wazalendo kwa Wananchi sasa?

Chadema wanajulikana kwa wananchi kuwa ni wapinzani kweli wanaowawazia mema kweli Watanzania. Hao ACT Wazalendo wanajulikana kwa wananchi na hilo haliwasumbui Watanzania.

Hata CHADEMA isiwe na mbunge hata 1 Bungeni haiwezi ondoa uhalisia kuwa ndo Chama kinachokubalika zaidi kwa Wananchi kwa sasa.

Mobutu alitengeneza upinzani feki Congo ila hakuweza ondoa upinzani wa kweli dhidi yake.
Mkuu

Naona unajitoa ufahamu kisenge sana

Leo tarehe 5/03/2025 Chadema ndio chama kikuu cha upinzani na ndio kinakubalika zaidi nchini Tanzania.

Ila tarehe 1/11/2025 hii inaweza isiwe kweli

Wanachama ambao ni masikini 80% watahamia chama kitakachokua rasmi,unajua masikini hana loyality na chochote zaidi ya kufata upepo ulipo

Chadema imekua chama kikuu cha upinzani kwa matokeo ya 2020 sio sababu ya wabunge pekee yake ni sababu ya percent ya kura za urais za 2020

Nadhani wewe una confuse idadi ya wabunge/wawakilishi na kura za urais

Sasa elewa hivi,Chadema isiposhiriki uchaguzi rasmi maana yake urais =0 na uwakilishi =0,na ACT urais wakipata hata kura 1 na uwakilishi wakipata hata mbunge 1 wao ndio chama kikuu cha upinzani

Unajua athari yake au unakenua mimeno kama juha?

1.kwa ruzuku watapata nyingi zaidi ya Chadema
2.wao ndio watakua kambi rasmi ya upinzani bungeni,watu wao wataongea zaidi na watasimamia kamati zaidi,hivyo umaarufu zaidi
3.international cooperations rasmi zinafata kambi rasmi za upinzani
4.vyombo vya habari vitatoa coverage maalumu zaidi kuliko vyama vilivyoshindwa,hivyo wata shine zaidi,Chadema will get no coverage

Hao wanachama unasemea au hata viongozi wa chadema watahama waende chama kinachowika zaidi for more political opportunities

Kwahiyo ukisema eti wananchi watakua na Chadema regardless ni ukichaa na ndoto za mchana kudhani wananchi hua wana muda wa kisenge wakua loyal kwa chama kilichoshindwa,hua wanahama hawanaga uaminifu kwa yeyote

Achana na Chadema leo,kulikua na NCCR ya mwaka 1995,ilikua maarufu kushinda CCM.....leo hata jina watu walishasahau,kwahiyo jitie kichwa ngumu
 
Mkuu

Naona unajitoa ufahamu kisenge sana

Leo tarehe 5/03/2025 Chadema ndio chama kikuu cha upinzani na ndio kinakubalika zaidi nchini Tanzania.

Ila tarehe 1/11/2025 hii inaweza isiwe kweli

Wanachama ambao ni masikini 80% watahamia chama kitakachokua rasmi,unajua masikini hana loyality na chochote zaidi ya kufata upepo ulipo

Chadema imekua chama kikuu cha upinzani kwa matokeo ya 2020 sio sababu ya wabunge pekee yake ni sababu ya percent ya kura za urais za 2020

Nadhani wewe una confuse idadi ya wabunge/wawakilishi na kura za urais

Sasa elewa hivi,Chadema isiposhiriki uchaguzi rasmi maana yake urais =0 na uwakilishi =0,na ACT urais wakipata hata kura 1 na uwakilishi wakipata hata mbunge 1 wao ndio chama kikuu cha upinzani

Unajua athari yake au unakenua mimeno kama juha?

1.kwa ruzuku watapata nyingi zaidi ya Chadema
2.wao ndio watakua kambi rasmi ya upinzani bungeni,watu wao wataongea zaidi na watasimamia kamati zaidi,hivyo umaarufu zaidi
3.international cooperations rasmi zinafata kambi rasmi za upinzani
4.vyombo vya habari vitatoa coverage maalumu zaidi kuliko vyama vilivyoshindwa,hivyo wata shine zaidi,Chadema will get no coverage

Hao wanachama unasemea au hata viongozi wa chadema watahama waende chama kinachowika zaidi for more political opportunities

Kwahiyo ukisema eti wananchi watakua na Chadema regardless ni ukichaa na ndoto za mchana kudhani wananchi hua wana muda wa kisenge wakua loyal kwa chama kilichoshindwa,hua wanahama hawanaga uaminifu kwa yeyote

Achana na Chadema leo,kulikua na NCCR ya mwaka 1995,ilikua maarufu kushinda CCM.....leo hata jina watu walishasahau,kwahiyo jitie kichwa ngumu
Achana na watanzania wa mwaka 1995 na watanzania wa leo!

Achana na watanzania waliokuwa hata habari wanategemea vyombo vya Serikali na Watanzania wa leo ambao dunia wanaiona kiganjani hadi huko Rukwa.

Maneno ya CHADEMA itakufa ni propaganda za kijinga za CCM kuwarubudi Watanzania kujaribu kuiondoa CHADEMA mioyoni mwao.

Nimekwambia, CHADEMA sasa ina mbunge mmoja tu Bungeni, na nikakuuliza vipi umaarufu wake umeshuka?

CHADEMA yenye mbunge 1 bungeni kwa siku 3 watanzania mamilioni hawakulala kufuatilia uchaguzi wake wa Mwenyekiti.

Kipi kinakufanyq useme itakufq wakiachana na uchaguzi ambao kila mwananchi mwenye akili anajua ni hadaa na danganya toto?


Ukipost vitu humu jua tu humu tupo Great thinkers sio mapooza.
 
Ninyi wakina Makala acheni kumpotosha Mh Rais..

CDM wana hoja za MSINGI , Rais waite , CDM na Wapinzani wengine muongee na uagize mabadiliko madogo ya Katiba ili kupata Tume Huru ya Uchaguzi kwa uchaguzi wa 2025
Mama Tanzania ni kubwa kuliko CCM, CDM na ACT..ONGEENI!
 
Achana na watanzania wa mwaka 1995 na watanzania wa leo!

Achana na watanzania waliokuwa hata habari wanategemea vyombo vya Serikali na Watanzania wa leo ambao dunia wanaiona kiganjani hadi huko Rukwa.

Maneno ya CHADEMA itakufa ni propaganda za kijinga za CCM kuwarubudi Watanzania kujaribu kuiondoa CHADEMA mioyoni mwao.

Nimekwambia, CHADEMA sasa ina mbunge mmoja tu Bungeni, na nikakuuliza vipi umaarufu wake umeshuka?

CHADEMA yenye mbunge 1 bungeni kwa siku 3 watanzania mamilioni hawakulala kufuatilia uchaguzi wake wa Mwenyekiti.

Kipi kinakufanyq useme itakufq wakiachana na uchaguzi ambao kila mwananchi mwenye akili anajua ni hadaa na danganya toto?


Ukipost vitu humu jua tu humu tupo Great thinkers sio mapooza.
nadhani nadiscuss na clueless

thanks up!
 
Mkuu

Naona unajitoa ufahamu kisenge sana

Leo tarehe 5/03/2025 Chadema ndio chama kikuu cha upinzani na ndio kinakubalika zaidi nchini Tanzania.

Ila tarehe 1/11/2025 hii inaweza isiwe kweli

Wanachama ambao ni masikini 80% watahamia chama kitakachokua rasmi,unajua masikini hana loyality na chochote zaidi ya kufata upepo ulipo

Chadema imekua chama kikuu cha upinzani kwa matokeo ya 2020 sio sababu ya wabunge pekee yake ni sababu ya percent ya kura za urais za 2020

Nadhani wewe una confuse idadi ya wabunge/wawakilishi na kura za urais

Sasa elewa hivi,Chadema isiposhiriki uchaguzi rasmi maana yake urais =0 na uwakilishi =0,na ACT urais wakipata hata kura 1 na uwakilishi wakipata hata mbunge 1 wao ndio chama kikuu cha upinzani

Unajua athari yake au unakenua mimeno kama juha?

1.kwa ruzuku watapata nyingi zaidi ya Chadema
2.wao ndio watakua kambi rasmi ya upinzani bungeni,watu wao wataongea zaidi na watasimamia kamati zaidi,hivyo umaarufu zaidi
3.international cooperations rasmi zinafata kambi rasmi za upinzani
4.vyombo vya habari vitatoa coverage maalumu zaidi kuliko vyama vilivyoshindwa,hivyo wata shine zaidi,Chadema will get no coverage

Hao wanachama unasemea au hata viongozi wa chadema watahama waende chama kinachowika zaidi for more political opportunities

Kwahiyo ukisema eti wananchi watakua na Chadema regardless ni ukichaa na ndoto za mchana kudhani wananchi hua wana muda wa kisenge wakua loyal kwa chama kilichoshindwa,hua wanahama hawanaga uaminifu kwa yeyote

Achana na Chadema leo,kulikua na NCCR ya mwaka 1995,ilikua maarufu kushinda CCM.....leo hata jina watu walishasahau,kwahiyo jitie kichwa ngumu
Kuna watu wazima mmebakisha akili ya kuvukia barabara na sio kujadili na kuchambua siasa kwa hoja zenye misuli mizito na damu ya kutosha.

Hivi kweli mtu unatoa mifano ya kitisho cha kufa kwa CHADEMA mwaka 2025 kwa kutumia case study ya NCCR Mageuzi mwaka 1995 (baada ya miaka 30) halafu unajiita great thinker. Unashindwa kuelewa kuwa dynamics za kisiasa, demografia, technolojia zimebadilika na hizo zina athari za moja kwa moja kwenye siasa.

Kwanza hujasema ni kwanini NCCR ilikufa, sababu haikua ni kususia uchaguzi. Maana yake ni kwamba, unavyosema CHADEMA itakufa kama NCCR kwa kutoshiriki uchaguzi wa 2025, maana yake hata hiyo historia ya kufa kwa NCCR huijui vizuri.

Kaisome vema historia na uyajue vema mambo ya sasa ndo tuje kujadiliana kama unajimudu na kujiamini utakuwa na hoja zenye damu ya kutosha.
 
Baada ya madudu mengi kutokea ndani ya mifumo ya kiutawala kwa miaka 5 iliyopita ambapo CCM ilitawala yenyewe, pamoja na misuguano ya ndani ya chama, imepelekea CCM kuona umuhimu fulani walau wa kuwa na uwakilishi mdogo wa wapinzani wenye nguvu ili kufunika kombe na kuendelea kuwahadaa wananchi na jumuiya ya kimataifa.

Kwa maana hiyo, CCM wanaichukulia CHADEMA kama mtaji muhimu wa kisiasa ili waondokane na ile aibu ya kutawala peke yao kupitia uharamia wa chaguzi. Na hapa wanawahitaji CHADEMA tuu, kwa sababu hivo vyama vingine havina ushawishi kwa watanzania (walau visiwani wanajua ACT hawana shida, washakubali michezo yao)

Hivyo, hoja ya 'No reforms, no election' inawaumiza na kuwatesa sana CCM kwasababu wanaona kabisa kuna hatari ya kuwakosa CHADEMA kwenye ballot kitu ambacho wanahisi kitakuwa kimewaharibia sana mipango yao.

Nilivyoona clip ya CPA Makalla akitaka kabisa kulia machozi kuwaomba CHADEMA washiriki uchaguzi, nikathibitisha kwamba, hii no reforms, no election ni mechi ambayo Tundu Lissu amekabia juu kabisa na amewashika vilivyo CCM kwenye koo.

Chopa zikianza kuruka huku na huko kuipigania agenda ya 'no reforms, no election', nina wasiwasi Mh. CPA Makalla na Babu Wasira watamfuata Lissu kwa magoti, wakiwa wamechoka kabisa na kukaukiwa makoo.

Hofu yangu kubwa ni CCM kufanya hata uhuni wa kufanikisha wanachadema feki kuomba kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA. (Kama iliwezekana kwa wabunge 19, hata hapa inaweza kuwezekana) Hapa muwe macho CHADEMA.
Viongozi wa CHADEMA hawana maarifa ya siasa.
 
Baada ya madudu mengi kutokea ndani ya mifumo ya kiutawala kwa miaka 5 iliyopita ambapo CCM ilitawala yenyewe, pamoja na misuguano ya ndani ya chama, imepelekea CCM kuona umuhimu fulani walau wa kuwa na uwakilishi mdogo wa wapinzani wenye nguvu ili kufunika kombe na kuendelea kuwahadaa wananchi na jumuiya ya kimataifa.

Kwa maana hiyo, CCM wanaichukulia CHADEMA kama mtaji muhimu wa kisiasa ili waondokane na ile aibu ya kutawala peke yao kupitia uharamia wa chaguzi. Na hapa wanawahitaji CHADEMA tuu, kwa sababu hivo vyama vingine havina ushawishi kwa watanzania (walau visiwani wanajua ACT hawana shida, washakubali michezo yao)

Hivyo, hoja ya 'No reforms, no election' inawaumiza na kuwatesa sana CCM kwasababu wanaona kabisa kuna hatari ya kuwakosa CHADEMA kwenye ballot kitu ambacho wanahisi kitakuwa kimewaharibia sana mipango yao.

Nilivyoona clip ya CPA Makalla akitaka kabisa kulia machozi kuwaomba CHADEMA washiriki uchaguzi, nikathibitisha kwamba, hii no reforms, no election ni mechi ambayo Tundu Lissu amekabia juu kabisa na amewashika vilivyo CCM kwenye koo.

Chopa zikianza kuruka huku na huko kuipigania agenda ya 'no reforms, no election', nina wasiwasi Mh. CPA Makalla na Babu Wasira watamfuata Lissu kwa magoti, wakiwa wamechoka kabisa na kukaukiwa makoo.

Hofu yangu kubwa ni CCM kufanya hata uhuni wa kufanikisha wanachadema feki kuomba kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA. (Kama iliwezekana kwa wabunge 19, hata hapa inaweza kuwezekana) Hapa muwe macho CHADEMA.
Chadomo watasema huwa wanaibiwa.

View: https://www.instagram.com/p/DG0lTWfIcOc/?igsh=MWxzc2xndWl0cnI4dg==
 
Baada ya madudu mengi kutokea ndani ya mifumo ya kiutawala kwa miaka 5 iliyopita ambapo CCM ilitawala yenyewe, pamoja na misuguano ya ndani ya chama, imepelekea CCM kuona umuhimu fulani walau wa kuwa na uwakilishi mdogo wa wapinzani wenye nguvu ili kufunika kombe na kuendelea kuwahadaa wananchi na jumuiya ya kimataifa.

Kwa maana hiyo, CCM wanaichukulia CHADEMA kama mtaji muhimu wa kisiasa ili waondokane na ile aibu ya kutawala peke yao kupitia uharamia wa chaguzi. Na hapa wanawahitaji CHADEMA tuu, kwa sababu hivo vyama vingine havina ushawishi kwa watanzania (walau visiwani wanajua ACT hawana shida, washakubali michezo yao)

Hivyo, hoja ya 'No reforms, no election' inawaumiza na kuwatesa sana CCM kwasababu wanaona kabisa kuna hatari ya kuwakosa CHADEMA kwenye ballot kitu ambacho wanahisi kitakuwa kimewaharibia sana mipango yao.

Nilivyoona clip ya CPA Makalla akitaka kabisa kulia machozi kuwaomba CHADEMA washiriki uchaguzi, nikathibitisha kwamba, hii no reforms, no election ni mechi ambayo Tundu Lissu amekabia juu kabisa na amewashika vilivyo CCM kwenye koo.

Chopa zikianza kuruka huku na huko kuipigania agenda ya 'no reforms, no election', nina wasiwasi Mh. CPA Makalla na Babu Wasira watamfuata Lissu kwa magoti, wakiwa wamechoka kabisa na kukaukiwa makoo.

Hofu yangu kubwa ni CCM kufanya hata uhuni wa kufanikisha wanachadema feki kuomba kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA. (Kama iliwezekana kwa wabunge 19, hata hapa inaweza kuwezekana) Hapa muwe macho CHADEMA.
Hawa wanaweza kuweka hata mgombea feki
 
Baada ya madudu mengi kutokea ndani ya mifumo ya kiutawala kwa miaka 5 iliyopita ambapo CCM ilitawala yenyewe, pamoja na misuguano ya ndani ya chama, imepelekea CCM kuona umuhimu fulani walau wa kuwa na uwakilishi mdogo wa wapinzani wenye nguvu ili kufunika kombe na kuendelea kuwahadaa wananchi na jumuiya ya kimataifa.

Kwa maana hiyo, CCM wanaichukulia CHADEMA kama mtaji muhimu wa kisiasa ili waondokane na ile aibu ya kutawala peke yao kupitia uharamia wa chaguzi. Na hapa wanawahitaji CHADEMA tuu, kwa sababu hivo vyama vingine havina ushawishi kwa watanzania (walau visiwani wanajua ACT hawana shida, washakubali michezo yao)

Hivyo, hoja ya 'No reforms, no election' inawaumiza na kuwatesa sana CCM kwasababu wanaona kabisa kuna hatari ya kuwakosa CHADEMA kwenye ballot kitu ambacho wanahisi kitakuwa kimewaharibia sana mipango yao.

Nilivyoona clip ya CPA Makalla akitaka kabisa kulia machozi kuwaomba CHADEMA washiriki uchaguzi, nikathibitisha kwamba, hii no reforms, no election ni mechi ambayo Tundu Lissu amekabia juu kabisa na amewashika vilivyo CCM kwenye koo.

Chopa zikianza kuruka huku na huko kuipigania agenda ya 'no reforms, no election', nina wasiwasi Mh. CPA Makalla na Babu Wasira watamfuata Lissu kwa magoti, wakiwa wamechoka kabisa na kukaukiwa makoo.

Hofu yangu kubwa ni CCM kufanya hata uhuni wa kufanikisha wanachadema feki kuomba kuchukua fomu za kugombea ubunge kwa ticket ya CHADEMA. (Kama iliwezekana kwa wabunge 19, hata hapa inaweza kuwezekana) Hapa muwe macho CHADEMA.
Wasitoke nje ya Mada No Reform! Walter majibi kwa wananchi ! Je ni kwanini wanainjinia haya mambo ya utekaji, uenguliwaji, mauaji je jawabu la Ali Kibao limetolewq hadi leo? Wizi wa maboksi na kura na kutotangaza washindi kihalali wao wako upande ni gani.
Na ni kwa nini watu wakajiandikishe au kupiga kura na kupigwa virungu! Haya majibu yangeleta uelewa Wa NO Election.
Makala ukuje haraka..
 
Back
Top Bottom