Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
kwamba mchungaji is more qualified and fit to my position than myself?🤣Nitashangaa mno kama Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah au MamaSamia2025 na Chawa kindakindaki wengi, waimba sifa na walamba viatu vya mabwana zao watakuwa overtaken na Mch. Peter Msigwa....!
Na hapo ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno kwa hawa Chawaz...
Mimi sio chawa wala sina uongozi wowote ndani ya chama na serikali. Hii ni kwa sababu sihitaji kabisa hizo nafasi. Mimi ni mfanyabiashara ninayeridhika na kipato changu ninachopata kihalali. Kama ulikuwa hujui ni kuwa ndani ya familia yetu kuna viongozi wawili wakubwa ndani ya chama na serikali. Na mimi ndo nilikuwa nikiwahamasisha miaka zaidi ya 10 iliyopita wajihusishe na siasa baada ya kuona wanaweza.Nitashangaa mno kama Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah au MamaSamia2025 na Chawa kindakindaki wengi, waimba sifa na walamba viatu vya mabwana zao watakuwa overtaken na Mch. Peter Msigwa....!
Na hapo ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno kwa hawa Chawaz...
= natabiriKitendo cha mpinzani kuhamia kwao na muda si mrefu akala teuzi ya maana kabisa chomboni huku wao kama wazawa wakiendelea kuimba na kusifu hua kinawaumiza sana.
Mimi sio nabii ila natabili bwana pasta soon anakula kitengo alafu wakereketwa wataendelea kukerwa wakiwa benchi;
Hawa ulowataja watabaki hivyo hivyo kwani wao wapo designed kusafisha viti na kudeki vyumba watakavyotumia wenye akili kutoka chadema, sasa kwa akili ya kawaida mtu kama Mwashambwa kwa akili alizo nazo hata kuwa katibu tarafa ataweza? Kipaji chake ni kusifia na siyo kusifiwa.Nitashangaa mno kama Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah au MamaSamia2025 na Chawa kindakindaki wengi, waimba sifa na walamba viatu vya mabwana zao watakuwa overtaken na Mch. Peter Msigwa....!
Na hapo ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno kwa hawa Chawaz...
Hawa ulowataja watabaki hivyo hivyo kwani wao wapo designed kusafisha viti na kudeki vyumba watakavyotumia wenye akili kutoka chadema, sasa kwa akili ya kawaida mtu kama Mwashambwa kwa akili alizo nazo hata kuwa katibu tarafa ataweza? Kipaji chake ni kusifia na siyo kusifiwa.Nitashangaa mno kama Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah au MamaSamia2025 na Chawa kindakindaki wengi, waimba sifa na walamba viatu vya mabwana zao watakuwa overtaken na Mch. Peter Msigwa....!
Na hapo ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno kwa hawa Chawaz...
Ooooh, kumbe...!!!???Mimi sio chawa wala sina uongozi wowote ndani ya chama na serikali. Hii ni kwa sababu sihitaji kabisa hizo nafasi. Mimi ni mfanyabiashara ninayeridhika na kipato changu ninachopata kihalali. Kama ulikuwa hujui ni kuwa ndani ya familia yetu kuna viongozi wawili wakubwa ndani ya chama na serikali. Na mimi ndo nilikuwa nikiwahamasisha miaka zaidi ya 10 iliyopita wajihusishe na siasa baada ya kuona wanaweza.