kinadada tu: ati hawara wa kakako naye utamwita wifi?

Ningemwita kwa jina lake..... Kwani si nnalijua!

Mambo mengine ya kujipendekeza hayana msingi. She used to be ur wifi not anymore. Stick to her name already!
 
Ningemwita kwa jina lake..... Kwani si nnalijua!

Mambo mengine ya kujipendekeza hayana msingi. She used to be ur wifi not anymore. Stick to her name already!
 
Ningemwita kwa jina lake..... Kwani si nnalijua!

Mambo mengine ya kujipendekeza hayana msingi. She used to be ur wifi not anymore. Stick to her name already!

gaijin umeongea la maana kwani ukimuita mtu kwa jina lake inakuaje?
 
Fikiria sasa mwanamke umezaa na mtu Kisha ukaachana nae, ukaolewa na mtu mwengine mkazaa. Wewe mwanamme utafurahi mkeo akiitwa wifi na dada wa hawara wake wa zamani?!
 
Huwa nashangaa sana wanawake wengi wanaposema 'ilimradi mimi ni mke wa ndoa' so what? Kikubwa hapa ni kumpa heshima mwanamke aliyezaa kama wewe kwani walioolewa wanazaa tofauti na wasio olewa. Tatizo liko wapi kuitwa wifi si amezaa mtoto na yeye mlitakata aitwe nani? Akiitwa wifi anambeba huyo mume na kuondoka naye au ni heshima? Kwa maana hiyo hata mtoto basi anapashwa asimwite huyo mke wa ndoa mama kama yeye anaona vigumu kusikia neno wifi kwa mzazi mwenzie na mumewe.
 
my wife wangu huwa akikuta na mzazi mwenzangu wa zamani, wanapiga stori na kula tano kama kawa.
hawana noma kabisa. so inategemeana na ntu na ntu.

umekutana na wastaarabu edson, maana kwa akili yangu yule mzazi mwenza wa mume wanu hana kosa siwezi kumchukia unless kama ataamua kuanza mwenyewe.
 
Hivi mie na mme tunapendana vijimambo vingine ni vidogo sana kuumiza kichwa....
 
my wife wangu huwa akikuta na mzazi mwenzangu wa zamani, wanapiga stori na kula tano kama kawa.
hawana noma kabisa. so inategemeana na ntu na ntu.

Mkuu wangu hii kwako haijakaa vizuri kwa upande wa kiusalama! Kama wana maelewano ya hivyo, kuna uwezekano mkubwa wanapokutana wanadumisha pia ile mila yao ya kuteta. Mazungumzo yao yanaweza kuwa kama ifuatavyo:

wa zamani: 'Edson alikuwa anapenda sana kulambwa masikio, vipi siku hizi?'
wa sasa: 'mwenzio siku hizi ndio kazidisha kabsaaaa! Bila hivyo gari haiwaki!'
wa zamani: 'na bado anakoroma usiku?'
wa sasa: 'Mwenzangu! Mbona nakoma! Yaani ni kama tumewasha jenereta humo ndani!'
 

mtu B nawe una mambo, si lazima iwe hivyo ni habari za asbh,mchna,jioni- salama
watoto hawjambo? - hajambo cjui mwenzao - mzima
na biashara inaishia hapo. wanawake wanaodiscuss weakness za waume za chumbani ni wajinga
 
mtu B nawe una mambo, si lazima iwe hivyo ni habari za asbh,mchna,jioni- salama
watoto hawjambo? - hajambo cjui mwenzao - mzima
na biashara inaishia hapo. wanawake wanaodiscuss weakness za waume za chumbani ni wajinga

Ujinga huambukiza! na ukicheka na nyani shambani utavuna mabua! Na tena basi, ukifanya mazoea sana na mbwa atakufuata hadi msikitini! Itaanza kama mazungumzo na mazoea ya kawaida halafu kidogokidogo wanaanza kuchomeka detail moja baada ya nyingine, mwanaume anajikuta keshaachwa uchi, kila kitu chake wameshajadili!

Huwa nafanya kazi za field na nasafiri mara nyingi na kinamama kwenye msafara wangu, wengine wakubwa zangu kiumri na kicheo, lakini huwa nashangaa sana wanavyomwagiana data za waume zao tena za kiundani. Kuna wawili nilisafiri nao toka Dar hadi Iringa wakakaa kiti cha nyuma gari ya ofisi, yaani mazungumzo yao garini hadi nifike Iringa yalinitosha kabisa kufahamu tabia za waume zao, kwamba wana mawifi wabaya, na huyo mmoja alikuwa anatoa details za neno kwa neno za mazungumzo yake na mumewe yanavyokuwa! Nikawaza kama mtu ukioa ukawa unasemwa hivi tena garini mbele ya watu baki kabisa, halafu mambo mabaya, ikanitisha vibaya.
 
Mke kajiaibisha bila sababu! Yeye ndio mshindi wasi wasi wa nini? Nahisi hii ni kule kwetu Kiwalani au siyo?
 

Mimi sijui kama ni sawa ila huwa ninawaita wifi hata kama hakuzaa nae, msichana yoyote ambaye alishawahi kuwa demu wa kaka yangu ni ni wifi tu
 
kazi ipo, lakini huyo dada mtu nae inawezekana alimwita wifi kumkomoa mwenzie au? ingekua m huyo mke wala nisingewamind maana kwani si mi ndie mke kama thats what matter!

mambo mengine bwana, mbona vipresha vya kijinga jinga, wifi? khaa c bora uitwe hata jina lako kuliko hilo hata kimada wa kakako ataitwa?...
 
Mimi sijui kama ni sawa ila huwa ninawaita wifi hata kama hakuzaa nae, msichana yoyote ambaye alishawahi kuwa demu wa kaka yangu ni ni wifi tu


c ndio hapo sasa, wifi maana yake c mtu anaemjua kakako vilivyo.."in/out"...sasa huyo kaka alikuwa na wangapi huko nyuma mpaka utegemee hilo jina liwe lako peke yako?..
 
c ndio hapo sasa, wifi maana yake c mtu anaemjua kakako vilivyo.."in/out"...sasa huyo kaka alikuwa na wangapi huko nyuma mpaka utegemee hilo jina liwe lako peke yako?..

wengine hujitafutia pressure, mi wifi akiamua kumwita kimada wa kakake wifi tena mwache amwite wala simind sanyingine lengo ilikua kukumindisha! na wala sitegemei waitwe vinginevyo!
 

kwa hiyo mtoto nae asiniite shangazi, yule wifi yangu tu twende mbele turudi nyuma
 
Mhhh kazi ipo...lakini Mie siiti mtu wifi wala shemeji...Naita majina yao period.... :A S tongue:
 
my wife wangu huwa akikuta na mzazi mwenzangu wa zamani, wanapiga stori na kula tano kama kawa.
hawana noma kabisa. so inategemeana na ntu na ntu.

Hii ilikuwa kwa wanawake tu mkuu
 

huyo mke alikosea sana inaonekana hajiamini au ana wivu sana . Dada mtu hakukosea huyo alikuwa wifi yake enzi hizo ila u-wifi huwa haufi bwana kwa sababu huyo dada+wifiye hawakuwahi kukosana sasa yeye hayamhusu hata kama hawakuoana ila ni wifi yake kwanza amezaa na kaka yake. Dada mtu hakukosea huyo ni wifi yake tu na atabaki kuwa hivyo wala dada mtu hajipendekezi kumuita wifi ndio anavyotakiwa kuitwa amezaa na kaka yake, heshima apewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…