mmmh 19yrs jaman?
aya.
na wewe 20yrs?
Nipe mbinu jamani, wote tunasoma chuo mwaka wa kwanza, sio watoto kiviiivo.
Haahahah...hadi uchi aaaaaaaaaaPengine unatakiwa uende uchi ! we unaenda na mijinzi yako
soma dogo achana na hayo, kwani mkopo umeshapata?Mdogo wenu nimependa kibinti cha malawi...mara mbili za mwanzo tuliongea vizuri sana...wiki chache baadaye nilipoanza kuonesha kuwa namtamani akaanza mapozi...uwiii..sikuhizi nikigonga mlango anafungua tunasalimia halafu anaufunga kwanguvu bila kunisemesha chochote..nabaki kwa nje natabasamu tuu...msaada wa mbinu jamani nimdake huyu binti wa miaka 19...shule haipandi kabisa namuwaza all the time.
Yani wewe umejiunga JF kwa jambo moja tu... Zinaa, basi!Mdogo wenu nimependa kibinti cha malawi...mara mbili za mwanzo tuliongea vizuri sana...wiki chache baadaye nilipoanza kuonesha kuwa namtamani akaanza mapozi...uwiii..sikuhizi nikigonga mlango anafungua tunasalimia halafu anaufunga kwanguvu bila kunisemesha chochote..nabaki kwa nje natabasamu tuu...msaada wa mbinu jamani nimdake huyu binti wa miaka 19...shule haipandi kabisa namuwaza all the time.
Mdogo wenu nimependa kibinti cha malawi...mara mbili za mwanzo tuliongea vizuri sana...wiki chache baadaye nilipoanza kuonesha kuwa namtamani akaanza mapozi...uwiii..sikuhizi nikigonga mlango anafungua tunasalimia halafu anaufunga kwanguvu bila kunisemesha chochote..nabaki kwa nje natabasamu tuu...msaada wa mbinu jamani nimdake huyu binti wa miaka 19...shule haipandi kabisa namuwaza all the time.