Elections 2010 Kinana akubali

TORRIMINATOR

Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
6
Reaction score
0
KINANA msemaji wa chama cha mapinduzi akubali chama chake chapoteza majimbo 29 bara, 22 zanzibar!
 
Lakini majimbo si hayajaisha kutangazwa result! Asubiri kuongezeka kwa idadi zaidi.
 
Eti licha ya kupoteza majimbo hayo bado wanaamini watashinda kwa kishindo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…