Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Kinana amesema kupitia BBC kuwa mwaka huu CCM imetumia gharma kidogo kuliko miaka yote? Mhhh... haya bwana hawa jamaa naona hata vichwa hawana tena.
Sikiliza hapa kuanzia dak ya 55.00
BBC Swahili - Mwanzo
Dondoo:
Mwandishi: Mbona ahadi zenu nyingi sana?
Kinana: ahadi siyo nyingi, ila zinaonekana nyingi kwa sababu ndizo wananchi wanataka kuzisikia
Mwandishi: Kwanini CCM mnamwandama slaa?
Kinana: Ndiye anayeongoza kura za maoni, pia anaongoza kupiga kelele zisizo na msingi na amepeleka kesi nyingi kwa msajili na mahakamani zisizo na maana.
Mwandishi: Mbona anapokelewa sana na wananchi?
Kinana: Hakuna mtu anayepokelewa zaidi ya JK? Hata hivyo mbona Mrema alipokelewa na watu wengi zaidi?
Mwandishi: CCM imetumia gharama kubwa mwaka huu, kwa nini?
Kinana: Atakayeweza kueleza gharama za CCM ni Msajili. Hata hivyo mwaka huu CCM imetumia gharama kidogo kuliko miaka yote....
.......Nimechoka na hawa watu..
Sikiliza hapa kuanzia dak ya 55.00
BBC Swahili - Mwanzo
Dondoo:
Mwandishi: Mbona ahadi zenu nyingi sana?
Kinana: ahadi siyo nyingi, ila zinaonekana nyingi kwa sababu ndizo wananchi wanataka kuzisikia
Mwandishi: Kwanini CCM mnamwandama slaa?
Kinana: Ndiye anayeongoza kura za maoni, pia anaongoza kupiga kelele zisizo na msingi na amepeleka kesi nyingi kwa msajili na mahakamani zisizo na maana.
Mwandishi: Mbona anapokelewa sana na wananchi?
Kinana: Hakuna mtu anayepokelewa zaidi ya JK? Hata hivyo mbona Mrema alipokelewa na watu wengi zaidi?
Mwandishi: CCM imetumia gharama kubwa mwaka huu, kwa nini?
Kinana: Atakayeweza kueleza gharama za CCM ni Msajili. Hata hivyo mwaka huu CCM imetumia gharama kidogo kuliko miaka yote....
.......Nimechoka na hawa watu..