Katibu Mkuu wa CCM abdulrahaman Kinana amewataka Viongozi aw vyama vya siasa nchini hasa Chadema kuondosha ukibaraka na ubinafsi na badala yake waache watanzania watoe maoni Yao kwa uhuru kwa Lengo la kupata katiba mpya itakayobeba matakwa Yao na si ya makundi macha he