Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Subject: YAH: MWALIKO WA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KESHO IJUMAA-08.10.2010
Habari za leo ndugu zangu,
Napenda kuwaalika katika mkutano na Waandishi wa habari kukutana na Mwenyekiti wa Kampeni za Urais kupitia CCM, Mheshimiwa Abdulrahman Kinana. Mkutano huu utafanyika kesho, Ijumaa tarehe 08.10.2010 saa nane (8) kamili mchana katika ofisi ndogo ya Chama cha Mapinduzi, Lumumba.
Waandishi wote wa habari na wapiga picha mnakaribishwa...
Natanguliza Shukrani..
--
Campaign Communications Team
Kikwete 2010
Natumaini hatojibu maswali mnayotaka; atakuja kuzungumzia suala la Jeshi na vyombo vya usalama.
Subject: YAH: MWALIKO WA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KESHO IJUMAA-08.10.2010
Habari za leo ndugu zangu,
Napenda kuwaalika katika mkutano na Waandishi wa habari kukutana na Mwenyekiti wa Kampeni za Urais kupitia CCM, Mheshimiwa Abdulrahman Kinana. Mkutano huu utafanyika kesho, Ijumaa tarehe 08.10.2010 saa nane (8) kamili mchana katika ofisi ndogo ya Chama cha Mapinduzi, Lumumba.
Waandishi wote wa habari na wapiga picha mnakaribishwa...
Natanguliza Shukrani..
--
Campaign Communications Team
Kikwete 2010
Huyu jamaa ikibidi alipuliwa zaidi ili aache kutufanya wajinga. Anyway, nchi tulishaiuza kwa JK. Naye JK keshaiuza kwa wamarekani na waaarabu sasa ni juu yetu kusuka au kunyoa. Maana kama tunakubali kumwacha tena, basi gharama yake tusilaumu mtu hapa. Wapenzi na mashabiki wote jitoeni saizi ni muda wa lala salama hakuna kurudi nyuma bado wiki tatu tu tumnyoe kipara JK.
Wakao kuwa huko wamwulize hivi ni kwanini CCM inawatumia REDET vibaya? Hivi wanafikiri hatujui ni nani kipenzi cha wapigakura?
ni lazima ajibu maswali ya waandishi wa habari na mengine pia kuhusu yakwake binafsi kwani anatajwa sana katika tuhuma kadha za ufisadi pia, hasa kusafirisha nyara za serikali. Maana kama siyo mtu msafi kwa nini alikubali kuwa msemaji mkuu wa kampeni za ccm
natamka hivyo kwa sababu hivi kweli ccm hawana mtu yoyote mwingine msafi wa kuwa msemaji wa chama hicho bila ya kuibua maswali ya kashfa yanayohusu yeye mwenyewe binafsi?
Wewe ni mjinga tu. Asipokufanya mjinga Kinana, basi atakufanya Mbowe na Slaa. Mtu yeyote anayewaamini wanasiasa ni mjinga tu! :tonguez: