Uchaguzi 2020 Kinana na Membe 2020 wanaitosha CHADEMA

Uchaguzi 2020 Kinana na Membe 2020 wanaitosha CHADEMA

TOMNOTKAT

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2013
Posts
836
Reaction score
1,080
Tetesi kitaa zinasema, wale maswahiba wakubwa wa JK enzi zake, Abdulrahman Kinana a.k.a. Mzee wa Tembo, na Bernard Membe a.k.a Jasusi, wanaungana nguvu kuchapisha tiketi yao ya kupeperusha bendera ya CHADEMA 2020.

Msidhani msigwa kakurupuka kuanza kumsafisha Kinana. Chadema wamejifunza toka 2015 ilipowalazimu kutumia kila jukwaa kumsafisha Lowassa badala ya kuuza sera na kumchafua Magu. Mwaka huu, wanajipanga usafi uishe kabla ya kampeni kuanza ili kampeni zikianza, Nyumbu wawe wamemsahau Kinana kama mbaya wa Tembo.

2020 Kutanoga tuu.

NCCR kazi kwenu.
 
Kinana na Membe hawawezi kuhama CCM, hata wakitoka watarudi. CCM ni zaidi ya chama cha siasa, ukishaonja utamu wa kuwa mwanachama wa CCM nchini Tanzania ipo siku tu utarudi mwenyewe.
 
Kinana na Membe hawawezi kuhama CCM, hata wakitoka watarudi. CCM ni zaidi ya chama cha siasa, ukishaonja utamu wa kuwa mwanachama wa CCM nchini Tanzania ipo siku tu utarudi mwenyewe.
Hapo inategemea kama watafanikiwa kutoboa 2020 au itakuwaje. Wasipotoboa, na NCCR ikawa kubwa kuliko Chadema bungeni, 2022 watarudi tu bila shida. Lakini wakipeta, CCM wajiandae kuhama nchi 😁😁😁
 
Demokrasia na katiba inaruhusu kufanya ivyo hata Mh Magufui anaweza kwenda chauma
 
Tetesi kitaa zinasema, wale maswahiba wakubwa wa JK enzi zake, Abdulrahman Kinana a.k.a. Mzee wa Tembo, na Bernard Membe a.k.a Jasusi, wanaungana nguvu kuchapisha tiketi yao ya kupeperusha bendera ya CHADEMA 2020.

Msidhani msigwa kakurupuka kuanza kumsafisha Kinana. Chadema wamejifunza toka 2015 ilipowalazimu kutumia kila jukwaa kumsafisha Lowassa badala ya kuuza sera na kumchafua Magu. Mwaka huu, wanajipanga usafi uishe kabla ya kampeni kuanza ili kampeni zikianza, Nyumbu wawe wamemsahau Kinana kama mbaya wa Tembo.

2020 Kutanoga tuu.

NCCR kazi kwenu.
Katika ufala watakaoufanya CDM ni kuchukua mgombea reject toka CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itachukua miaka 50 mbeleni kumpata mtu tishio kwa CCM katika uchaguzi kama mamvi Lowassa.Huyu mtu pesa ilikuwa siyo tatizo plus ushawishi plus umaarufu lakini alikaa kwa CCM sembuse hawa pimbi tu kinana na membe.Hawa hawana lolote kama wanataka kujipima ubavu wajaribu,wakijitahidi saaana watapata 10% ya kura,tuseme wengine 5%,JPM 85%+ inamhusu na hapo ndio watastaafu vibaya mno siasa kwa aibu kubwa.CCM ni kama maji ya ziwa na wanachama wake ni kama mamba,mamba hana nguvu akitoka majini ujue hata mtoto wa miaka mitano anaweza kulifukuza kwa fimbo,na ndicho wanachokitafuta hawa nyang'au.
Reporting from Manga,Tarime-Mara.
 
Hapo inategemea kama watafanikiwa kutoboa 2020 au itakuwaje. Wasipotoboa, na NCCR ikawa kubwa kuliko Chadema bungeni, 2022 watarudi tu bila shida. Lakini wakipeta, CCM wajiandae kuhama nchi 😁😁😁
Hakuna haja ya kuwa na uchaguzi 2020, mazingira hayaruhusu na nikupoteza muda kama kutwanga maji kwenye kinu. Kama wanaweza hao jamaa wabaki humo humo labda 2025 wanaweza kumpenyeza mtu wao ili wale mema ya nchi. Kinyume na hapo ni kupoteza muda
 
Itachukua miaka 50 mbeleni kumpata mtu tishio kwa CCM katika uchaguzi kama mamvi Lowassa.Huyu mtu pesa ilikuwa siyo tatizo plus ushawishi plus umaarufu lakini alikaa kwa CCM sembuse hawa pimbi tu kinana na membe.Hawa hawana lolote kama wanataka kujipima ubavu wajaribu,wakijitahidi saaana watapata 10% ya kura,tuseme wengine 5%,JPM 85%+ inamhusu na hapo ndio watastaafu vibaya mno siasa kwa aibu kubwa.CCM ni kama maji ya ziwa na wanachama wake ni kama mamba,mamba hana nguvu akitoka majini ujue hata mtoto wa miaka mitano anaweza kulifukuza kwa fimbo,na ndicho wanachokitafuta hawa nyang'au.
Reporting from Manga,Tarime-Mara.
Nchi zilizoendelea zinabidilisha vyama kila miaka 4 au 8 hapa kwetu ccm mwaka wa 60. Lakini hatuishi kuomba omba Ulaya kila siku. Wanatushangaa sana.
 
Membe wala kinana awezi kukurupuka kwenda kuwapa shavu cdm wala act ungesema nao wanzishe Chama Chao Sawa na kama ikitokea hivyo ccm wajiandae kisaikorojia unajua hakuna Chama pinzani kinachotokea kusini
CCM inatokea wapi vile?
 
Chama changu kisirudie makosa ya kumkaribisha fisadi lowassa 2015 kisha kumteua kama mgombea wa Urais. Kama Membe na Kinana wanataka kuhamia Chadema na uongozi wa Chadema unaridhia basi waruhusiwe lakini HAWASTAHILI kuteuliwa kugombea nafasi yoyote ile katika Uchaguzi wa 2020.

Fool me once shame on you, fool me twice shame on me.
 
Tetesi kitaa zinasema, wale maswahiba wakubwa wa JK enzi zake, Abdulrahman Kinana a.k.a. Mzee wa Tembo, na Bernard Membe a.k.a Jasusi, wanaungana nguvu kuchapisha tiketi yao ya kupeperusha bendera ya CHADEMA 2020.

Msidhani msigwa kakurupuka kuanza kumsafisha Kinana. Chadema wamejifunza toka 2015 ilipowalazimu kutumia kila jukwaa kumsafisha Lowassa badala ya kuuza sera na kumchafua Magu. Mwaka huu, wanajipanga usafi uishe kabla ya kampeni kuanza ili kampeni zikianza, Nyumbu wawe wamemsahau Kinana kama mbaya wa Tembo.

2020 Kutanoga tuu.

NCCR kazi kwenu.
Ondoka nyuma yetu sheitwani
 
Back
Top Bottom