Tetesi kitaa zinasema, wale maswahiba wakubwa wa JK enzi zake, Abdulrahman Kinana a.k.a. Mzee wa Tembo, na Bernard Membe a.k.a Jasusi, wanaungana nguvu kuchapisha tiketi yao ya kupeperusha bendera ya CHADEMA 2020.
Msidhani msigwa kakurupuka kuanza kumsafisha Kinana. Chadema wamejifunza toka 2015 ilipowalazimu kutumia kila jukwaa kumsafisha Lowassa badala ya kuuza sera na kumchafua Magu. Mwaka huu, wanajipanga usafi uishe kabla ya kampeni kuanza ili kampeni zikianza, Nyumbu wawe wamemsahau Kinana kama mbaya wa Tembo.
2020 Kutanoga tuu.
NCCR kazi kwenu.
Msidhani msigwa kakurupuka kuanza kumsafisha Kinana. Chadema wamejifunza toka 2015 ilipowalazimu kutumia kila jukwaa kumsafisha Lowassa badala ya kuuza sera na kumchafua Magu. Mwaka huu, wanajipanga usafi uishe kabla ya kampeni kuanza ili kampeni zikianza, Nyumbu wawe wamemsahau Kinana kama mbaya wa Tembo.
2020 Kutanoga tuu.
NCCR kazi kwenu.