Kinana ni bora ukajiuzulu sasa Makonda ni asset kwenye Chama wewe ni liability. Makonda ameshinda chuki zinazoelekezwa kwake

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Kitendo cha Kinana kupuuzwa maneno yake ya kufanya kazi kwa kuwawajabisha hadharani watumishi wa umma ni dhahiri Sasa siasa za Kinana hazina mvuto tena aachie damu changa.

Ajiuzulu ndani ya CCM kumruhusu mwenyekiti ateue Makamu Mwenyekiti anayetaka kuendana naye na mwelekeo mpya kwa sababu falsafa za Kinana na Makonda haziendani.
 
Chawa mtoto.
 
Ama Kweli Kila zama na kitabu chake.

Leo kijana anekuwa asset!!!
 
Kinana ni hazina ya nchi, hata haya yanayotokea, ni juhudu za Kinana kumsaidia SSH kuendesha siasa kisayansi. Kundi la mwendazake lilimjengea hofu kwamba hawa wapinzani sio watu wazuri, Kinana akamwambia SSH, hawa ni wanasiasa, na sisi CCM tuna wanasiasa, twende kwa wananchi wakaamue.

Makonda ni mzigo, CDM wametulia tu kwa muda kabla hawajamuanzishia mashambulizi ya mfululizo.
 
🤣🤣
 
Ahamie Chadema Sasa 😆😆
 
 
Daaah kumbe zengwe lilianza muda
 
Rudi tena uisome hii comment yako Kisha ujitafakari!!

Ukiwa na akili japo kidogo utaendelea kuwa msomaji tu na siyo msemaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…