Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Chawa mtoto.kitendo cha Kinana kupuuzwa maneno yake ya kufanya kazi kwa kuwawajabisha hadharani watumishi wa umma ni dhahiri Sasa siasa za Kinana hazina mvuto tena aachie damu changa ajiuzuru ndani ya CCM kumruhusu mwenyekiti ateue makamu mwenyekiti anayetaka kuendana naye na mwelekeo mpya kwa sababu falsafa za kinana na Makonda hacienda haziendani
kitendo cha Kinana kupuuzwa maneno yake ya kufanya kazi kwa kuwawajabisha hadharani watumishi wa umma ni dhahiri Sasa siasa za Kinana hazina mvuto tena aachie damu changa ajiuzuru ndani ya CCM kumruhusu mwenyekiti ateue makamu mwenyekiti anayetaka kuendana naye na mwelekeo mpya kwa sababu falsafa za kinana na Makonda hacienda haziendani
🤣🤣Kinana ni hazina ya nchi, hata haya yanayotokea, ni juhudu za Kinana kumsaidia SSH kuendesha siasa kisayansi. Kundi la mwendazake lilimjengea hofu kwamba hawa wapinzani sio watu wazuri, Kinana akamwambia SSH, hawa ni wanasiasa, na sisi CCM tuna wanasiasa, twende kwa wananchi wakaamue.
Makonda ni mzigo, CDM wametulia tu kwa muda kabla hawajamuanzishia mashambulizi ya mfululizo.
🤣🤣🤣🤣
Ahamie Chadema Sasa 😆😆Kinana ni hazina ya nchi, hata haya yanayotokea, ni juhudu za Kinana kumsaidia SSH kuendesha siasa kisayansi. Kundi la mwendazake lilimjengea hofu kwamba hawa wapinzani sio watu wazuri, Kinana akamwambia SSH, hawa ni wanasiasa, na sisi CCM tuna wanasiasa, twende kwa wananchi wakaamue.
Makonda ni mzigo, CDM wametulia tu kwa muda kabla hawajamuanzishia mashambulizi ya mfululizo.
Kinana ni hazina ya nchi, hata haya yanayotokea, ni juhudu za Kinana kumsaidia SSH kuendesha siasa kisayansi. Kundi la mwendazake lilimjengea hofu kwamba hawa wapinzani sio watu wazuri, Kinana akamwambia SSH, hawa ni wanasiasa, na sisi CCM tuna wanasiasa, twende kwa wananchi wakaamue.
Makonda ni mzigo, CDM wametulia tu kwa muda kabla hawajamuanzishia mashambulizi ya mfululizo.
Daaah kumbe zengwe lilianza mudakitendo cha Kinana kupuuzwa maneno yake ya kufanya kazi kwa kuwawajabisha hadharani watumishi wa umma ni dhahiri Sasa siasa za Kinana hazina mvuto tena aachie damu changa ajiuzuru ndani ya CCM kumruhusu mwenyekiti ateue makamu mwenyekiti anayetaka kuendana naye na mwelekeo mpya kwa sababu falsafa za kinana na Makonda hacienda haziendani
sisi tuliona mbaliDaaah kumbe zengwe lilianza muda
Hatari sanasisi tuliona mbali
Rudi tena uisome hii comment yako Kisha ujitafakari!!Kinana ni hazina ya nchi, hata haya yanayotokea, ni juhudu za Kinana kumsaidia SSH kuendesha siasa kisayansi. Kundi la mwendazake lilimjengea hofu kwamba hawa wapinzani sio watu wazuri, Kinana akamwambia SSH, hawa ni wanasiasa, na sisi CCM tuna wanasiasa, twende kwa wananchi wakaamue.
Makonda ni mzigo, CDM wametulia tu kwa muda kabla hawajamuanzishia mashambulizi ya mfululizo.
Na kwa zengwe linalopigwa, Mwigulu hamalizi mwaka piaDaaah kumbe zengwe lilianza muda