Kinanchoitwa uhakiki wa cheti cha kuzaliwa na RITA kina maana gani?

Kinanchoitwa uhakiki wa cheti cha kuzaliwa na RITA kina maana gani?

jijayetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2016
Posts
727
Reaction score
563
Nimepata mfadhaiko nilipopata taarifa kutoka kwa kijana wangu, kuhusu hitaji mojawapo la kuomba mkopo anatakiwa awe na hitibati ya uhakiki wa cheti chake chakuzaliwa,

sasa inakuwaje cheti ambacho kimetolewa na hao RIta wanataka tena kihakikiwe kwa gharama ya 6000?

kwanini kuwe na cheti kilichohakikiwa wakati vijana wamepewa namba za NIDA?

Pamoja na hayo zoezi linachukua mda mrefu sana na pesa wamechukua, kama hawana uwezo wa kutoa uhakiki kwa mda kwa nini RITA kaamua kufanya majukum ambayo hana uwezo nao?
 
Niproject ya kuingiza fedha serikalini,na Haina maana kabisa,juzi nimeomba cheti Cha kuzaliwa kupitia Rita na hao hao wanataka tena nikihakiki kwao Kwa sh 6000 mwaka Jana ilikuwa 3000
 
Nimepata mfadhaiko nilipopata taarifa kutoka kwa kijana wangu, kuhusu hitaji mojawapo la kuomba mkopo anatakiwa awe na hitibati ya uhakiki wa cheti chake chakuzaliwa,

sasa inakuwaje cheti ambacho kimetolewa na hao RIta wanataka tena kihakikiwe kwa gharama ya 6000?

kwanini kuwe na cheti kilichohakikiwa wakati vijana wamepewa namba za NIDA?

Pamoja na hayo zoezi linachukua mda mrefu sana na pesa wamechukua, kama hawana uwezo wa kutoa uhakiki kwa mda kwa nini RITA kaamua kufanya majukum ambayo hana uwezo nao?
njia za kupata fedha, elfu sita
 
Nimepata mfadhaiko nilipopata taarifa kutoka kwa kijana wangu, kuhusu hitaji mojawapo la kuomba mkopo anatakiwa awe na hitibati ya uhakiki wa cheti chake chakuzaliwa,

sasa inakuwaje cheti ambacho kimetolewa na hao RIta wanataka tena kihakikiwe kwa gharama ya 6000?

kwanini kuwe na cheti kilichohakikiwa wakati vijana wamepewa namba za NIDA?

Pamoja na hayo zoezi linachukua mda mrefu sana na pesa wamechukua, kama hawana uwezo wa kutoa uhakiki kwa mda kwa nini RITA kaamua kufanya majukum ambayo hana uwezo nao?
Mimi nimehakiki mara 2 na kukatwa pesa mara 2 afu hakuna system ya kukwambia tayari ulishalipia… nimelia sana 😭
 
Nimepata mfadhaiko nilipopata taarifa kutoka kwa kijana wangu, kuhusu hitaji mojawapo la kuomba mkopo anatakiwa awe na hitibati ya uhakiki wa cheti chake chakuzaliwa,

sasa inakuwaje cheti ambacho kimetolewa na hao RIta wanataka tena kihakikiwe kwa gharama ya 6000?

kwanini kuwe na cheti kilichohakikiwa wakati vijana wamepewa namba za NIDA?

Pamoja na hayo zoezi linachukua mda mrefu sana na pesa wamechukua, kama hawana uwezo wa kutoa uhakiki kwa mda kwa nini RITA kaamua kufanya majukum ambayo hana uwezo nao?
Ni utaratibu wa RITA kuhakiki cheti kinachotolewa na RITA.
 
Nadhani ni kwamba kuna watu wanafake vyeti vya kuzaliwa so ili kuepusha hii kitu wameweka hiyo system ya kuwa verified na RITA kwa watakaoomba mkopo
 
Ni mifumo ya kisheitwani.
Mfumo wowote unaoleta usumbufu na maumivu kwa mtu mwingine huo mfumo ni wa kishetani.
Yaani umuuzie mtu nguo , na pindi akitaka kuivaa aje kwako atoe tena fedha ili useme kuwa ile nguo ni original
 
Nadhani ni kwamba kuna watu wanafake vyeti vya kuzaliwa so ili kuepusha hii kitu wameweka hiyo system ya kuwa verified na RITA kwa watakaoomba mkopo
Kwanini wasiingize kwenye mfumo moja kwa moja?
Yaani unaweza serial number inajiverify automatically bila kutumia pesa?
Serikali hii kila wanapohisi kuna pesa wanaongeza kitu
 
Awamu ya kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake, muasisi anajulikana kwahio fungeni mikanda ndugu abiria😄
 
Back
Top Bottom