Kinashindikana nini Kenya kuitisha uchaguzi mpya?

Kinashindikana nini Kenya kuitisha uchaguzi mpya?

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,190
Reaction score
3,039
1. Kila siku wanamkaribia Mheshimiwa Dkt. Commander in Chief Ruto (PhD) maana Mheshimiwa pamoja na kuwamwaga mizigo wa mwizi (Baraza la Mawaziri) baharini Ila bado wanae tu.

2. Nini kinachelewesha Mheshimiwa kuitisha Uchaguzi mpya ili Kupunguza joto la kisiasa Kenya?

**Ruto pia ahakikishe vijana wa IT wanacheza karibu kama alivyofanya mwanzoni
 
Hii ndio ntokee maandamano mpaka AFCON 2027 na CAF inawaangalia tu!
 
Back
Top Bottom