Kinda Nigeria aacha gumzo Kombe la Dunia U20

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259

Nahodha na beki wa timu ya Taifa ya Nigeria U20 inayoshiriki World Cup ya U20 huko Argentina, kinda mwenye miaka 17, Daniel Kolocho Bameyi imebainika kuwa alidanganya.

Imezoeleka wachezaji wengi wa Kiafrika wanadanganya umri, lakini kwa Bameyi imekuwa tofauti kabisa.

Bameyi katika taarifa zake, amesema anachezea timu inayoitwa YUM YUM FC, lengo la kufanya hivyo ili aitwe timu ya Taifa.

Katika uchunguzi uliofanyika, imebainika kwamba timu hiyo YUM YUM FC haipo mahala popote pale duniani.
 
YUM YUM kwa Kinigeria ni YOUNG AFRICANS. Huyo dogo ameshasinya kwa mabingwa watarajiwa wa CAFCC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…