LGE2024 Kindononi: Mbunge Abbas akabidhi feni kwaajili ya ukumbi wa mikutano, agharamia na ufungaji wa feni hizo

LGE2024 Kindononi: Mbunge Abbas akabidhi feni kwaajili ya ukumbi wa mikutano, agharamia na ufungaji wa feni hizo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Ukisikia vituko majimboni ndio hivi :BearLaugh: :BearLaugh: , mwenyewe yuko proud hapo kwenye picha hana hata haya:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:

====

Screenshot_20241113_004355_Instagram.jpg

Mbunge wa Kinondoni Mhe. Tarimba Abbas, akimkabidhi Mwenyekiti wa CCM Kata ya Magomeni Bw. Mohamed Mwinyi, Mafeni sita kwa ajili Ukumbi wa mikutano wa Kata hiyo leo Jumanne tarehe 12 Nov, 2025.

Mbunge pia amegharamia ufungaji wa feni hizo.
 
Good. inch 36 izo zinauzwa complete 60-75k.

Kanunua ngapi?

Next time acheki za Panasonic ni nzuri ila gharama kidogo.
 
Back
Top Bottom