King Ali Kiba amejishindia tuzo za ASFAS nchini Uganda

Eddy Love

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
13,654
Reaction score
8,564
Licha ya watu kupga majungu lakini ukweri upo pale pale king Alikiba aka mzee wa sauti za hatari zilizompagawisha R.KELLY na NEYO amezidi kufanya vyema afrika kwa mwaka huu 2016.Pongezi ziende kwake mfalme ALIKIBA anayewaumiza vichwa wasanii wa beat za tarumbeta

source MILLARD AYO​
 
hahahahahah...hivi hizi tuzo za bushman mbona huwa zinakuja kimazabemazabe sana

Alafu bushman si alisema yeye hataki tuzo..
Hakuna mtu asiyependa pongezi ikiwa amefanya mazuri
 
ofcoz Tanzania inapepea sasa japo kuwa zamani AY pekee ndo alikuwa anapeperusha bendera kimataifa
kuna hawa mameneja uchwara ndio wanaokwamisha mziki wa TZ usitue coz wanataka wao tu ndio waonekane anga za kimataifa
 
kuna hawa mameneja uchwara ndio wanaokwamisha mziki wa TZ usitue coz wanataka wao tu ndio waonekane anga za kimataifa
ni kweri kabisaa mkuu ukiusikiliza wimbo wa Babu talent ya nikki mbishi ameeleza mengi kuhusiana na hili game la muziki
 
hahahahahah...hivi hizi tuzo za bushman mbona huwa zinakuja kimazabemazabe sana

Alafu bushman si alisema yeye hataki tuzo..
Ni kama zile tuzo za amani alizopokea EL kutoka Kongo...

Hazijulikani[emoji2] [emoji2]
 
Tuzo Uganda

ha ha ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…