lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
wakuu mfalme ni mfalme tu. huyu jamaa ni noumaaa. jana nilikua pale dar live hatari,king kiba kafanya balaaa kwanza kulia na nyomi ya watu ambayo haijawahi kutokea hapa dar.kawachanganya na kapagawisha watu shoo ya nguvu yaani ilikua ni cheketuaaaaaaaaaaa. huyu ndie anaitwa THE KING KIBAAAAA.hakuna bongo kama huyu mfalme,ni mtu wa kazi tu hajui kuuza sura