lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
Ama nini? Taratiiiiibu watakaa tu.Nafurahi kusikia hivi.
Ha ha ha namkubali
kwahiyo hii nayo ni thread..... ??????? dhumuni likiwa ni nini hasa>?????
wataelewa tu
Ama nini? Taratiiiiibu watakaa tu.Nafurahi kusikia hivi.
Ama nini? Taratiiiiibu watakaa tu.Nafurahi kusikia hivi.
Ningeshangaa kama ungekosa..ha hahaha.. natamani nami ningekua Kiba ukawa unanikubali hivi... una mapenzi ya kweli.
Ama nene....Hakunaga King mwingine bwana.
Ama nene....Hakunaga King mwingine bwana.
Kafanya vzr big up but sio yeye wa kwanza cos mwenzie aliujauza huo ukumbi na aliingia ukumbini na helicopter so sio issue kivile sana kakawakuu mfalme ni mfalme tu. huyu jamaa ni noumaaa. jana nilikua pale dar live hatari,king kiba kafanya balaaa kwanza kulia na nyomi ya watu ambayo haijawahi kutokea hapa dar.kawachanganya na kapagawisha watu shoo ya nguvu yaani ilikua ni cheketuaaaaaaaaaaa. huyu ndie anaitwa THE KING KIBAAAAA.hakuna bongo kama huyu mfalme,ni mtu wa kazi tu hajui kuuza sura