"Haukuwa mchezo wa ushindani,Power Dynamos walikuwa kutupongeza tu lakini sio ushindani" - King Kibadeni
Kwako wewe unaonaje?
Hii mechi imekaa kimitego sana. Ukiacha kua ya kirafiki lakini pia timu hizi zinaweza kukutana kwenye Michuano ya CAF endapo Power Dynamo atamtoa mpinzani wake."Haukuwa mchezo wa ushindani,Power Dynamos walikuwa kutupongeza tu lakini sio ushindani" - King Kibadeni
Kwako wewe unaonaje?
Credit: TV3
NB: Je mnyama alitoa 10% Kwa wapinzani ...Ili asiaibishweView attachment 2710723
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kama wananchi........Nilitegemea vikosi tofaut kila kipindi.
Hakikaaulikuwa mchezo wa lirafuki, hata angekuja man city bado usingekuwa mchezo wa ushindani, ushindani ni kwenye mechi za kutafuta point/kikombe.. hvyo vipimo rasmi vinaanza kwenye ngao ya kijamii
So unadhani nani kacheza karata mzuri kati ya hawa wawiliHii mechi imekaa kimitego sana. Ukiacha kua ya kirafiki lakini pia timu hizi zinaweza kukutana kwenye Michuano ya CAF endapo Power Dynamo atamtoa mpinzani wake.
Ukiweka silaha zako zote na ukaonyesha ujuzi wako wote siku mkikutana kwenye mechi za CAF utakua kwenye disadvantage position