Chakuchambuka
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 342
- 63
Wakuu na waataalamu wa JF naomben msaada wenu kwani mi nna umri wa miaka 22 ila tayari dalili za kuwa na kipara zishajionesha na siipendi hali hii nifanye nin niweze kuepuka na janga hili linaloonisabashia navaa kofia maasa 24.