Chakuchambuka
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 342
- 63
Wakuu na waataalamu wa Jf naomben msaada wenu kwan mi nna umri wa miaka 22 ila tayar dalili za kuwa na kipara zishajionesha na siipend hali hii nifanye nin niweze kuepuka na janga hili linaloonisabashia navaa kofia maasa 24
Jikubali ulivyo utaishi kwa raha !tiba ya kipara ni ya gharama kubwa na ina madhara kiafyaWakuu na waataalamu wa JF naomben msaada wenu kwani mi nna umri wa miaka 22 ila tayari dalili za kuwa na kipara zishajionesha na siipendi hali hii nifanye nin niweze kuepuka na janga hili linaloonisabashia navaa kofia maasa 24.
Wakuu na waataalamu wa JF naomben msaada wenu kwani mi nna umri wa miaka 22 ila tayari dalili za kuwa na kipara zishajionesha na siipendi hali hii nifanye nin niweze kuepuka na janga hili linaloonisabashia navaa kofia maasa 24.