Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Hawa jamaa walikuwa hawako hewani siku nyingi. Wakarejea na kutuma meseji Kwa tuliokuwa wateja wao. Cha ajabu ukiwapigia hawapokei simu, na ikitokea bahati mbaya wakapokea wanajibu utumbo na kukata simu.
Hii meseji yenu nyie continental mnatutumia ya nini?!
Ndugu mteja,kama bado unapata shida kulipia au kupata matangazo yetu tupigie huduma kwa wateja 0768988900, mafundi
0769642384/0620672582/0625098736 karibu.
Hii meseji yenu nyie continental mnatutumia ya nini?!
Ndugu mteja,kama bado unapata shida kulipia au kupata matangazo yetu tupigie huduma kwa wateja 0768988900, mafundi
0769642384/0620672582/0625098736 karibu.