mara mia moja startimes kuliko hicho 🐒Hawa jamaa walikuwa hawako hewani siku nyingi. Wakarejea na kutuma meseji Kwa tuliokuwa wateja wao. Cha ajabu ukiwapigia hawapokei simu, na ikitokea bahati mbaya wakapokea wanajibu utumbo na kukata simu.
Hii meseji yenu nyie continental mnatutumia ya nini?!
Ndugu mteja,kama bado unapata shida kulipia au kupata matangazo yetu tupigie huduma kwa wateja 0768988900, mafundi
0769642384/0620672582/0625098736 karibu.
Hii kampuni wameshafilisika kitambo tuHawa jamaa walikuwa hawako hewani siku nyingi. Wakarejea na kutuma meseji Kwa tuliokuwa wateja wao. Cha ajabu ukiwapigia hawapokei simu, na ikitokea bahati mbaya wakapokea wanajibu utumbo na kukata simu.
Hii meseji yenu nyie continental mnatutumia ya nini?!
Ndugu mteja,kama bado unapata shida kulipia au kupata matangazo yetu tupigie huduma kwa wateja 0768988900, mafundi
0769642384/0620672582/0625098736 karibu.
Azam, Dstv huna?Ndiyo, nilidhani wako serious kumbe utopolo kabisaaa
Nili nunua cha kwanza cha antena afu model yake ikawa ina sumbua then nka buy cha dishHatavitumia hata atakayekuja na hiyo 20...lakini mbona unavyo vingi hivyo
Mkuu unauza kisimbuzi kwa bei ya konyagi ndogo!Nnavyo viwili sija vitumia mwaka wa 3 sasa .anae viitaji aje na 5k tu