Kingereza ni kigumu kweli

Usinikumbushe, siku moja tulikaa pale Posta mpya majira ya jioni, watu wako kwenye mishe za kuwahi daladala kwenda home. Sasa wakapita mabinti wawili warembo tu, basi huyu mwenzetu mmoja akaamua awasifie kidogo, ndo akamwambia yule binti aliepita upande wetu huku akionyesha kwa kidole, " your milk is so nice ".
Mpaka leo nikikumbuka nacheka peke yangu.
 

Si ajabu aliaga 'am going to plant a car there...'
 
Head Master : Are you a new English teacher??
Teacher : Yes I are!!
 
Imeandikwa na mabango ya tanroads unapoanza kushuka kitonga " check your break!"
 
Kuna sehemu fulani nlikuwa napita njia nikaona baadhi ya mabango ya majina ya bishara yameandikwa kama ifuatavyo:-
LEADS FIRST SALON,TUNABAN CD na jengine GOGEMENT DAY.Sijui ni mbwembwe za kuvutia wateja au kutokuja Ung'eng'e kwa ufasaha

hata wewe kiswahili umekosea kuandika jengine=jingine
kutokuja=kutokujua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…