KINGONI kitamu jamani

Ne mbwitu! Niamba he,nifuna kutama ngolongondi kumgati...namwene.Maganga yawi lepa. Namyangu wikita kyani ?
Nirekebishe na kutoa tafsiri. Nihamba he (nihamba lepi) =siendi. nifuna kutama ngolongondi =nataka kukaa kimya (nikiwa nafikiri); mgati au kugati na siyo kumgati. =ndani. maganga gavi lepa = hakuna pesa (lit. hakuna mawe); wamuyangu au na muyangu =nawe mwenzangu.
 
usipo pigwa ban nitaanza kuamini JF haitendi haki wakati flani.miezi kadhaa iliyopita nilipigwa ban ya miezi mitatu kwa kuhusisha kabila moja maarufu na kale kamchezo kabaya kwa watoto wa kiume.wee kwali wamwene.:redface:

mkuu hujasikia huko Songea yaliyotokea, mama na mwana waishi kinyumba?
 
mbona kwenye ile thread ya 'mama kuishi na mtoto wake kinyumba kwa miaka 10' hamjajitokeza? kumbe mpo wengi hivi?lol

ah ngati timejaa mgati humu ngo!eti mlongo wangu Fixed Point?nikosiwi wadala na wangana wa humu ku JF uwamanyili?jovaa nongi!
 
kun che chii chong fyaa hehehehe tafsiri na hii sasa :majani7:
 
Halafu walevi nyie kila pombe yenu mpaka mnyama Komba mlevi wa mnazi mmejipa jina nyambafu zenu......................(Ohooo Fixed Point mie mtani wenu msinirushie mawe)
 
Last edited by a moderator:
kamwali Fixed Point mwenye platizuumu sijui, ah wengo!atumanyili lepi huyu! yenyee ngondo aliwezili kweli huyu?
ne nimlolekeza tu mlongo wangu, atimahi he tete, linda hoti nimalikisa kitu fulani, ngondo hii lelu mpaka lukela, ha haaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…