Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
mental kama mentalNje ya Ugumu wa Maisha aliyonayo kama Mimi GENTAMYCINE, ila anapenda sana kama si mno kupiga Mpepe / Puje / Kijiti / Udi Karaha / Sigara Bwege / Pombe yenye Moshi Sifa ambayo 99% ya Majirani zake huko Mbagala wanaijua.
Ila huyu hapa chini aliyejitutumua Kuandika lugha ya Kiingereza ambayo anajua fika kuwa haijui na kaitumia hadi Kukichapia Yeye siyo Mental kama Mental?mental kama mental
Sio Kingwendy pekee Bali CCM imepokea wanachama kibao wa Upinzani kutoka Chadema kuanzia Wabunge Hadi wanachama wa kawaida.Mwanachama wa CUF na Mgombea Ubunge wa Chama hicho , Kingwendu , leo ametangaza rasmi kukihama chama hicho na kujiunga na ccm
View attachment 2895412View attachment 2895414
Kule cuf njaa kali lazima afubae, kaenda kwenye asali atanawiri.Kingwendu mbona kafubaa hivyo
Lazima awe hivyo, kwa sababu hapo yupo na watu wakubwa na hayupo kwenye maigizo. Huyu mtu kule kumuona tu huwa kunanitosha kabisa hata kabla hajaongea nenoKingwendu mbona kafubaa hivyo