Kinondoni hapafai

Kinondoni hapafai

HUKU ABROAD

Senior Member
Joined
Nov 20, 2020
Posts
127
Reaction score
218
Mwana Flani wa facebook kanivutia Uzi ohhh mambo vp bro ..

Nakubali kazi zako Nini ...
Tuwe friends Moja na mbili nikasema fresh

Mara kauliza ohhh unaish wap nikamwambia kino , akasema dahhhh kino Pana reputation mbaya .. wanawake sio wahaminifu , wanaume wengi wahuni ..

Jaman ehhh wazee wa kino je ni kweli !?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwana Flani wa facebook kanivutia Uzi ohhh mambo vp bro ..

Nakubali kazi zako Nini ...
Tuwe friends Moja na mbili nikasema fresh

Mara kauliza ohhh unaish wap nikamwambia kino , akasema dahhhh kino Pana reputation mbaya .. wanawake sio wahaminifu , wanaume wengi wahuni ..

Jaman ehhh wazee wa kino je ni kweli !?
Achana nae boya uyo
 
Back
Top Bottom