Mwana Flani wa facebook kanivutia Uzi ohhh mambo vp bro ..
Nakubali kazi zako Nini ...
Tuwe friends Moja na mbili nikasema fresh
Mara kauliza ohhh unaish wap nikamwambia kino , akasema dahhhh kino Pana reputation mbaya .. wanawake sio wahaminifu , wanaume wengi wahuni ..
Jaman ehhh wazee wa kino je ni kweli !?