LGE2024 Kinondoni: Mtaa wa Mwinyimkuu wagombea wa vyama vya upinzani Uchaguzi Serikali za Mitaa waenguliwa

LGE2024 Kinondoni: Mtaa wa Mwinyimkuu wagombea wa vyama vya upinzani Uchaguzi Serikali za Mitaa waenguliwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Ameandika haya Mwanaisha Mndeme wa ACT

Mtaa wa Mwinyimkuu, Kata ya Mzimuni, Jimbo la Kinondoni wagombea wa vyama vya upinzani wote wameenguliwa. CCM hawako tayari kwa uchaguzi wa huru na haki.

1731062262119.jpeg
 
Kinachotafutwa na CCM ni vita ya wenyewe kwa wenyewe ili waendelee kutawala daima
 
Wakuu,

Ameandika haya Mwanaisha Mndeme wa ACT

Mtaa wa Mwinyimkuu, Kata ya Mzimuni, Jimbo la Kinondoni wagombea wa vyama vya upinzani wote wameenguliwa. CCM hawako tayari kwa uchaguzi wa huru na haki.

Natamani kusikia kuwa Wagombea wote kabisa wa Vyama vya Upinzani wameenguliwa wote kabisa nchi nzima ili wapate akili timamu sawa sawa na kujifunza.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 5
Mlisema ni Magufuli, hahaha! Kiko wapi sasa?
Ule wimbo ulioanzia CCM na nyie wapinzani mkaingia mkenge bila kujua mkaimba chorus: "uchaguzi ule ulikuwa uchafuzi, mama kaimarisha demokrasia, mama amewapa nafasi Sawa wapinzani, mama karuhusu maandamano, mama karuhusu mikutano ya hadhara, wapinzani walinunukiwa na Mwendazake, " ....na hizo ni rasharasha, elnino unakuja! Ndani ya CCM kuna mumiani, mafia ambao hata mwenyekiti wao anawaogopa wasije wakagusa "fuse" yake akapiga shot !
 
Nahisi viongozi wa vyama vya upinzani ni mamluki wa ccm,kwanini wasisusie uchaguzi wote ili waachie ccm wenyewe hadi katiba ibadilishwe? Kwa sababu kwa katiba hii ya sasa hakuna uchaguzi huru utakaofanyika.
 
Mlisema ni Magufuli, hahaha! Kiko wapi sasa?
Ule wimbo ulioanzia CCM na nyie wapinzani mkaingia mkenge bila kujua mkaimba chorus: "uchaguzi ule ulikuwa uchafuzi, mama kaimarisha demokrasia, mama amewapa nafasi Sawa wapinzani, mama karuhusu maandamano, mama karuhusu mikutano ya hadhara, wapinzani walinunukiwa na Mwendazake, " ....na hizo ni rasharasha, elnino unakuja! Ndani ya CCM kuna mumiani, mafia ambao hata mwenyekiti wao anawaogopa wasije wakagusa "fuse" yake akapiga shot !
Nahisi viongozi wa vyama vya upinzani ni mamluki wa ccm,kwanini wasisusie uchaguzi wote ili waachie ccm wenyewe hadi katiba ibadilishwe? Kwa sababu kwa katiba hii ya sasa hakuna uchaguzi huru utakaofanyika.
Absolutely.

Katiba Mpya Kwanza, Chaguzi za Siasa Baadaye!
 
Nahisi viongozi wa vyama vya upinzani ni mamluki wa ccm,kwanini wasisusie uchaguzi wote ili waachie ccm wenyewe hadi katiba ibadilishwe? Kwa sababu kwa katiba hii ya sasa hakuna uchaguzi huru utakaofanyika.
Hujui msemo wa "ukisusa wenzio twala"?
 
Nahisi viongozi wa vyama vya upinzani ni mamluki wa ccm,kwanini wasisusie uchaguzi wote ili waachie ccm wenyewe hadi katiba ibadilishwe? Kwa sababu kwa katiba hii ya sasa hakuna uchaguzi huru utakaofanyika.
Mbowe aliingia "maridhiano" huyu huyo aliyekataa kuwa hawatashiriki uchaguzi hadi Katiba mpya na kisha akageuka na kushiriki wakati msimamizi wa uchaguzi ni mteuliwa na Kada wa CCM
 
Mlisema ni Magufuli, hahaha! Kiko wapi sasa?
Ule wimbo ulioanzia CCM na nyie wapinzani mkaingia mkenge bila kujua mkaimba chorus: "uchaguzi ule ulikuwa uchafuzi, mama kaimarisha demokrasia, mama amewapa nafasi Sawa wapinzani, mama karuhusu maandamano, mama karuhusu mikutano ya hadhara, wapinzani walinunukiwa na Mwendazake, " ....na hizo ni rasharasha, elnino unakuja! Ndani ya CCM kuna mumiani, mafia ambao hata mwenyekiti wao anawaogopa wasije wakagusa "fuse" yake akapiga shot !
Uko sahihi
 
Back
Top Bottom